Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa MUONGO ,makampuni ya serikali TTCL/ATCL yalifannya sanaa za maonesho KUTOA GAWIO kwa serikali ,wakati yalikuwa yanajiendesha kea hasara.Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.
Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika viwanja vya madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo kuanzia saa nne kamili asubuhi. Aidha, Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande anatukumbusha kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwa Wazalendo wa kweli, kudumisha amani, undugu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.
Hayati Magufuli apumzike kwa amani mbinguni.
View attachment 2147385
Tunamuombea Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini mwetu ili aendelee kula raha mbinguni. Unateseka ukiwa wapi? 😁Mnamuombea nani?Mnamuombea maji ya kunywa au nini?Mmekosa kazi za kufanya.Nasikitika kwamba naye alikuwa mkatoliki.Nkt!
Huwa mnaonesha chuki ilivyo mbaya na inavyoua taratibu.Aliomba msamaha Lissu ?.
Aliomba msamaha aliowapora fedha ?.
Aliomba msamaha waTZ kwa kupora uchaguzi ?.
Aliomba msamahaa wazazi wa Ben ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu uchumi ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu mahusiano ya kimataifa hasa nchi jirani ?.
Hicho kiherehere cha Roman Catholic kinatoka wapi zaidi ya kudumaza waKristo kiimani na hata namna bora ya kutumia akili zao.
Kifupi hiyo misa ni chukizo mbele ya Mungu.
Wao Injili yao ni utajiri na kuondoa mapepo tu. Hawajui hata maana ya msalaba.mie naangaliaga hizi post nawazaga sana kuhusu binadamu aliyezaliwa na binadamu mwenzie! nyie mnaoombea kwa kudanganya watu ili mpate hela mjenge mahekalu na starehe kibao wakati waumini wenu wanashinda njaa kwa kuamini mnawaombea utajiri mlaaniwe
Hahaha, wewe tahira anzisha JF yako, pambafUmbwa wewe tuachie page yetu kenge we
Swali kabla hujaswaliwa... Maana yake utaswaliwa, au haujui hata ulichokiandika!? 😁Swali kabla hujaswaliwa
Nina hakika Mungu anatuangalia anatafakari kuna mahali alikosea kutuumba wa TZ, tuna unafiki mkubwa sana kuanzia makasisi na waumini.
Lakini ashukuriwe Mungu hajawahi kutenda kwa kufuata unafiki wetu
Wala hajawahi kumuacha mtu muovu astawi kwa kitambo sana
Magufuli alikuwa peace sana kwa Watanzania wazalendo, na aliwapenda kwa dhati kabisa. Alikuwa mtetezi wa kweli wa wanyonge.Nitakukumbuka rais wangu..
Nilikupigia kula mimi
Nilipenda biti zako
Nilipenda utani wako mf. Mpanuliwe wapi?😂😂
Muda wa kucheka tulicheka muda wa kazi ilikuwa kazi kweli.
Napenda na mimi siku 1 nije kuwa kama wewe tena zaidi ya wewe.
Ulikuwa na HURUMA ! Huruma! Tena Huruma ya kweli. Nakujua tangu ukiwa mbunge.
Chema hakidumu hakika chema hakidumu
Familia yako mola aendelee kuifanyia wepesi.
Daaaah....
Chuki gani Chief? siwezi mchukia mtu ambaye tulishamshinda duniani na sasa anaoza, May be angekuwa haiChuki inaua. 😁
Hicho kitendo alichofanya Mama alitafuta namna zote za kumtoa, akashindwa, akamtengenezea chuki kuu, hakutaka hata kuongea naye
Hahaha, hizi zilitangazwa baada ya Lissu kupiga spana, na hakuna aliyeajiriwa, ulikuwa uongo na propaganda
Kama ulikuwa katili kwa Watanzania, kama ulikuwa unawaonea Watanzania wanyonge, kama ulikuwa fisadi, kama ulikuwa kibaraka wa mabeberu ni lazima ulikutana na moto wa Magufuli.1.MKATILI
Watu walikuwa wanapotea kabla yake na wanapotea baada yake, hiyo hata siyo hoja. Hata hivyo kipindi cha Magufuli wanaopotea walipungua sana.2.WATU WAMEUWAWA NA KUPOTEA KATIKA UTAWALA WAKE
Hakuna Rais ametengeneza ajira nyingi kama Magufuli. Wakati wake Watanzania wengi sana walijiajiri.4.AMELETA OMBWE LA AJIRA KWA KUTOAJILI MUDA MREFU.
Hakuna Rais aliyekosolewa kama Magufuli. Akina Lissu walikuwa hadi wanamtukana (Refer kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu 2020) lakini wapo wanadunda.5.ALIKUWA NI MTU MWENYE VISASI KWA WALIOMKOSOA
Kwani kama kuna mashaka kwenye uraia wa mtu na serikali ikaamua ku-clear hayo mashaka kuna shida gani?Kwa hiyo alikuwa anamkubali kwa vitendo vyake? Amesahau alivyomdhalilisha Askofu mwenzake kwa kumuweka katika kundi la wahamiaji haramu? Amesahau yaliyompata Tundu Lisu?