Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Je wewe unajua kabla ya kifo chake aliongea/ aliomba nini kwa Mungu wake?!
Maandiko yanasema.. “Your ways are not my ways”. Isaiah 55: 8-9
Hajui lolote, amejawa na chuki na uchawi.
 
Alikuwa MUONGO ,makampuni ya serikali TTCL/ATCL yalifannya sanaa za maonesho KUTOA GAWIO kwa serikali ,wakati yalikuwa yanajiendesha kea hasara.

Lengo ni kuwahadaa WATANZANIA wajinga ambao hawana CRITICAL mind.

Mwishoni ikabainika katika report ya CAG kuwa mashirika hayo ni Yalioparate kwa hasara.

Kifupi MAGUFULI ALIKUWA SAWASAWA NA (Mfalme JUHA)
 
Mnamuombea nani?Mnamuombea maji ya kunywa au nini?Mmekosa kazi za kufanya.Nasikitika kwamba naye alikuwa mkatoliki.Nkt!
Tunamuombea Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini mwetu ili aendelee kula raha mbinguni. Unateseka ukiwa wapi? 😁
 
Huwa mnaonesha chuki ilivyo mbaya na inavyoua taratibu.

Amuombe msamaha Lissu, sijui wazazi wa Ben kwa lipi? Hebu tuwekee uthibitisho hapa.

Aharibu uchumi halafu hao mabeberu wenu wafanya declaration kuwa tupo uchumi wa kati!!!

Uhusiano gani wa kimataifa, huu wa kuwauza Wamasai, au huu wa kuwauzia Wachina bandari na kuwapa mamlaka ya kuongoza uchumi wa nchi yetu?

Punguzeni chuki, itawaua.
 
mie naangaliaga hizi post nawazaga sana kuhusu binadamu aliyezaliwa na binadamu mwenzie! nyie mnaoombea kwa kudanganya watu ili mpate hela mjenge mahekalu na starehe kibao wakati waumini wenu wanashinda njaa kwa kuamini mnawaombea utajiri mlaaniwe
Wao Injili yao ni utajiri na kuondoa mapepo tu. Hawajui hata maana ya msalaba.
 
Swali kabla hujaswaliwa... Maana yake utaswaliwa, au haujui hata ulichokiandika!? 😁
 
Magufuli alikuwa peace sana kwa Watanzania wazalendo, na aliwapenda kwa dhati kabisa. Alikuwa mtetezi wa kweli wa wanyonge.
 
1.MKATILI
Kama ulikuwa katili kwa Watanzania, kama ulikuwa unawaonea Watanzania wanyonge, kama ulikuwa fisadi, kama ulikuwa kibaraka wa mabeberu ni lazima ulikutana na moto wa Magufuli.

Hatukushangai. Magufuli aliwapenda na kuwatetea Watanzania walioonewa. Nasi Watanzania wengi tunampenda na tunazidi kumuombea apumzike kwa amani mbinguni.

2.WATU WAMEUWAWA NA KUPOTEA KATIKA UTAWALA WAKE
Watu walikuwa wanapotea kabla yake na wanapotea baada yake, hiyo hata siyo hoja. Hata hivyo kipindi cha Magufuli wanaopotea walipungua sana.

4.AMELETA OMBWE LA AJIRA KWA KUTOAJILI MUDA MREFU.
Hakuna Rais ametengeneza ajira nyingi kama Magufuli. Wakati wake Watanzania wengi sana walijiajiri.

5.ALIKUWA NI MTU MWENYE VISASI KWA WALIOMKOSOA
Hakuna Rais aliyekosolewa kama Magufuli. Akina Lissu walikuwa hadi wanamtukana (Refer kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu 2020) lakini wapo wanadunda.

Ninafikiri upunguze chuki, itakusaidia kuwa na maisha marefu.
 
Kwa hiyo alikuwa anamkubali kwa vitendo vyake? Amesahau alivyomdhalilisha Askofu mwenzake kwa kumuweka katika kundi la wahamiaji haramu? Amesahau yaliyompata Tundu Lisu?
Kwani kama kuna mashaka kwenye uraia wa mtu na serikali ikaamua ku-clear hayo mashaka kuna shida gani?

Tundu Lissu alipatwa na nini?
 
Kawadanganye mazuzu wenzako hakuna jipya alilofanya Makufuli.
Ukiwa na chuki hauwezi kuona wema wa mtu, hata awe mwema kiasi gani. Punguza chuki mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…