Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Nilijua tu lazima utafute shortcut [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] , ngoja nikuache ila najua hiyo mistari michache itakusumbua muda mrefu labda uwe bendera fata upepo.
Inanisumbuaje sasa, wakati yesu atakaporudi tena mara ya kwanza hagusi kabisa hapa ardhini, ataishia mawinguni ambapo wafu na walio hai watakatifu watapaa kuungana naye, baada ya miaka 7 atashuka na mawingu na hapo ndipo ataihukumu dunia.

Baada ya kuihukumu dunia wale wachafu/waliomkataa kama wakatoliki, watatupwa ziwa la moto, ila wale watakatifu waliookoka na kuishi maisha matakatifu (jua ukiokoka usiishi maisha matakatifu unapoteza muda), watatawala naye yerusalem mpya itakayoshuka toka mbinguni miaka 1000, na baada ya hapo ndio watatawala na bwana milele na milele.

Sasa hapo kuna nafasi gani ya watu kuokoka tena? Kungekuwa na ulimwengu miwngine kuokoka yesu si angesubiri tu ulimwengu huo mwingine ufika ndio ashuke kuukomboa ulimwengu? Mnadanganywa hadi lini?
 
Hilo jizi halistahili kuombewa, ni la kuchomwa moto wa milele! Alituletea wahuni akina Bashite, Sabaya na akawalinda kwa nguvu zote! akawafanyia unyama wapinzani as if siyo watanzania, hafai, hafai, na hastahili kuombewa
Alinajisi demokrasia ktk chaguzi za 2019 &2020.

Watu wengi waliumizwa na 'wasiojulikana' wakati wa utawala wake.

Alionyesha ubaguzi wa kikanda dhahiri, eg kubomoa nyumba za wachaga kimara na kuacha za wasukuma mwanza, kupeleka mirafi lukuki chato.

Ubaguzi wa kiitikadi- alisema waliochagua wapinzani wasahau maendeleo.

Etc etc.
 
inanisumbuaje sasa, wakati Yesu atakaporudi tena mara ya kwanza hagusi kabisa hapa ardhini, ataishia mawinguni ambapo wafu na walio hai watakatifu watapaa kuungana naye, baada ya miaka 7 atashuka na mawingu ...
Atarudi baada ya miaka 7 kuhukumu Dunia umeitoa wapi? Kichwani kwako?
 
Naamini hii misa itavunja record kwa mahudhurio ya watu, ngoja nikusanye nauli nikahudhurie sitataka kusimuliwa.
 
Yesu hakumwombea Lazaro, alimfufua. hakuna sehemu hata moja kwenye Biblia Yesu anaombea mfu yeyote, wala mitume hawajawahi kufanya hivyo. ni kanisa katoliki tu ndio linafanya hivyo.
Sasa kwa nini uumie kama wewe sio mkatoliki? Pilipili usio ila kwa nini ikuwashe. Usiishi kwa kukariri maandiko, bali uelewe. Hakuna sehemu kwenye maandiko Mungu anasema ombeni chochote kwangu kwa imani mtapewa. Unaweza nisahihisha kama nimenukuu vibaya.
 
Naona Marais wote wakristo wametangulia mbele za haki...kuoa wake wengi kunaongeza siku za kuishi 😂😂
 
ni wa kila anayemwomba Mungu. haya kila aonaye kitu na aje ateke maji ya uzima bure..hapo aliongea akimaanisha Roho Mtakatifu atakayewashukia waamini baada ya yeye kupaa. nitajie padre au sista au askofu mmoja tu aliyejazwa Roho Mtakatifu. hakuna. sas amnaabudu nini? wakati Roho Mtakatifu anayeliongoza kanisa hayupo pamoja na nyi?
Mtu akijazwa na roho mtakatifu anakuwaje? Au wewe umekariri. Matendo yako yanaweza kutoa tafsiri kama unaroho mtakatifu au huna usikariri mkuu, roho mtakatifu hakai kwa wenye majivuno, wachoyo, wabnafsi, wasengenyaji na wasiothamini wenye shida na wenye mahitaji.

Mfano kwa maamuzi aliyokuwa anayafanya JPM hasa kwa jinsi alivyoshughulika na swala la corona unadhani ule ulikiwa ni uwezo wake peke yake, unahisi hakuwa na nguvu ya roho mtakatifu.
 
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli...
Mbinu nzuri y akusaka sadaka na kuandaa mazingira ya sukuma gang mpya, yaani mtu Wala hakuwa wa Jimbo lake na hakuwahi kusali hapo, Bora ingeandaliwa Chato au Dsm ...ukabila tu
 
Mimi naamini mafundisho yote aliyofundisha Yesu au mitume wake hayajandikwa kwenye biblia kwa sababu mbalimbali la sivyo biblia ingekuwa kubwa sana na isinge bebeka.

Na kwa sababu amri kuu kuliko zote ni upendo basi mtuache sisi wakatoloki tuoneshe upendo kwa marehemu wetu kwa kuwaombea wa Mungu mwenye huruma awasamehe wale wanaostaili msamaha wake, kwa kuwa hakuna sehemu kwenye bilblia imezuia waliokufa wasiombewe.
 
yaani unataka nianze kukufafanulia hayo? soma

Yohana 11:41-44 ” Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mkamwache aende zake.”

we expect the same to happen kwenu, muite kwa sauti, jpm toka nje, atoke aende chattle.

Don’t be naive ! Same should be expected wakaitwe akina TB Joshua, mama Rwakatare, Koffi Anan, Mandela ….. waamke waende kwao? Usidhani uwepo wa Roho Mtakatifu ni rahisi hivyo na utendaji kazi wake ni mwepesi hivyo ! Makanisa mengi sana ya kiroho ni fake na yamejaa [emoji624] drama!
 
you will never see God, kwasababu mnaabudu dini, hamuabudu Mungu. lazima muokoke ndio mtamwona Mungu. ukweli huu unaujua moyoni, na unaishi ukihangaika kubishana na nafsi yako. shahidi wa kwanza wa uzima wa roho yako ni wewe mwenyewe,

Hapa sasa unalazimisha kwa kukosa hoja!! Hivi unajua hao unaowaita walokole sehemu kubwa ni fake ! Ulokole unaotaka kuuona ndani ya mkatoliki ni upi ? Wa kulia makanisani ? Ni wa ku fake kutoa mapepo kama Charisma wa mbezi beach ?
 
yap, kumkufuru Roho Mtakatifu hakuna msamaha wa dhambi. lakini ukweli mwingine upo palepale, baada ya kifo ni hukumu, mtu anatakiwa kutengeneza maisha yake na Mungu angali hai, akifa hakuna nafasi hiyo tena bali kusubiria hukumu tu.

Why do you limit God in his judgement decisions? Sio kwamba kwa Mungu kila kitu kinawezekana? Kusubiri hukumu haiwezi kua hukumu ya kusamehewa?
 

huu haujaujibu.​

Ebr 9:27-28 SUV​

Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.

Tena umebold kabisa maneno “na baada ya kufa ni hukumu “ je hukumu hiyo haiwezi kua msamaha ? Ya kwamba mmempangia Mungu kuhukumu ni kutupa roho ya mfu jehanamu ?
 
Alinajisi demokrasia ktk chaguzi za 2019 &2020.
Watu wengi waliumizwa na 'wasiojulikana' wakati wa utawala wake....
Hastahili kuombewa kabisa, ni bora wakae kimya! Aliharibu uchumi na ndoto za watu, haiwezekani ukae miaka 5 bila kutoa ajira, kupandisha vyeo, kutoa annual increment, kupandisha mishahara huku kisingizio kikiwa kujenga SGR! Mbona Samia ndani ya mwaka anafanya vyote?
 
Daah, R.I.P rais wamfano wakuigwa tangia tupate uhuru.

Natamani ingefanyika dar hapa taifa nadhani mji ungesimama..

Hataukomwanza natabiri hapatatosha.
 
Back
Top Bottom