Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

kuombea/ibaza za wafu ni chukizo kwa Mungu. baada ya kifo ni hukumu, hata uombe namna gani mtu aliyekufa kama hakutengeneza maisha yake kabla ya kufa huwezi kumtakasa. acheni kupoteza watu, acheni ibada za wafu. kanisa katoliki lina imani ya kupeleka watu motoni moja kwa moja.
Kuweni makini maana neno la Mungu haliishi kutakasa mashindano yetu ya nani imani yake ni bora au sahihi. Wakatoliki na Wasiowakatoliki.

Kwake yeye analoangalia zaidi ni uhusiano wa nafsi yako na Yeye.

Tuwe makini pia tunapotafsiri kati ya; Kuombea wafu na kuwaomba wafu na nini kimekatazwa.

Biblia haijaandika popote pale Mungu aliposema kitu fulani usiniombe. Hamna mpendwa.

Kafungua njia kwa binadamu; Soma Phillipians 4:6 ( Wafilipi 4:6)
 
Hilo jizi halistahili kuombewa, ni la kuchomwa moto wa milele! Alituletea wahuni akina Bashite, Sabaya na akawalinda kwa nguvu zote! akawafanyia unyama wapinzani as if siyo watanzania, hafai, hafai, na hastahili kuombewa
Kuna kiongozi muhuni kama Tundu Lissu?
 
Ukimzungumzia magufuli unagusa watu wengi sana.kifupi mpera mpera wake nilikuwa naupenda sana nchi ilichangamka.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hiyo ni imani yako, kama unafikiri unajua sana fungua uzi juu ya ibada ya wafu tujadili, ikiwezekana unda tume! Nina hakika hata ibada ya wafu maana yake hujui!

Ni makosa makubwa kufikiri unaweza kuombewa baada kufa huku ukiwa umetenda midhambi kibao.

Mtu kauwa,kaamuru watu watandikwe risasi,kuteka.,........ halafu unaombewa !.
 
yaani haujui kutafsiri Neno la Mungu. my friend, ndio maana tunasema muokoke Roho Mtakatifu awasaidie. ni kweli kuna maisha yajayo, whicih means kuna siku hata hao wafu watafufuta watakuwa hai....
Common sense inatuambia kama kuna watu hawatasamehewa kwenye maisha yajayo maana yake wapo watakaosamehewa.
 
Ni makosa makubwa kufikiri unaweza kuombewa baada kufa huku ukiwa umetenda midhambi kibao.

Mtu kauwa,kaamuru watu watandikwe risasi,kuteka.,........ halafu unaombewa !.
Je wewe unajua kabla ya kifo chake aliongea/ aliomba nini kwa Mungu wake?!
Maandiko yanasema.. “Your ways are not my ways”. Isaiah 55: 8-9
 
Yesu alikufa na kufufuka, wao wanaweza! Hii mistari si ya kunukuu tu kama kasuku. Yesu ametupa kazi ya injili si kutoana mapepo tu ibada karibia nzima na kujiona ndio wana nguvu kuliko wengine [emoji23]
Wao wanajua Yesu alikuja kwa ajili ya kutoa pepo tu na kutenda miujiza.

Imani yao imejengwa kwenye miujiza, maisha mazuri, mali nyingi, n.k.

Hawaelewi hata lengo la Yesu kuamua kutuonesha kwa vitendo msalaba na nguvu yake.

Wanasikitisha!!!
 
hata Yesu aliwaita mafarisayo kuwa ni wenye dhambi. kumwita mtu mwenye dhambi sio kuhukumu.

Mt 23:23-39 SUV​

Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache. Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia.

Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi. Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi.

Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote. Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.

Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnayajenga makaburi ya manabii, na kuyapamba maziara ya wenye haki, na kusema, Kama sisi tungalikuwako............
Kuna tofauti kati ya onyo na hukumu.

Yesu aliwaonya, wewe umeshatuhukumu hatutaeda mbinguni.

Nikuulize tu, watu walioishi kabla ya Ulokole wataenda motoni au mbinguni?
 
hajamaanisha kama kuna msamaha ulimwengu ujao. aliongea moja kwa moja kwamba katika ulimwengu huu hakuna msamaha na katika ulimwengu ujao hakutakuwa na msamaha. mbona rahisi tu kuelewa aisee? au umeshakunywa pombe padre.
Wewe ni mgumu sana kuelewa!
 
Mnamuombea nani?Mnamuombea maji ya kunywa au nini?Mmekosa kazi za kufanya.Nasikitika kwamba naye alikuwa mkatoliki.Nkt!
 
Nyie jamaa wajinga sana, propaganda za warumi zimewaingia hadi kwenye dna, hakuna cha Paul, Timotheo, Yesu, wala upuuzi wa aina hiyo! Acheni ujinga
Rudi kwa aliyekutuma maana naye yupo. Wewe ndio Mjinga.
 
inanisumbuaje sasa, wakati Yesu atakaporudi tena mara ya kwanza hagusi kabisa hapa ardhini, ataishia mawinguni ambapo wafu na walio hai watakatifu watapaa kuungana naye, baada ya miaka 7 atashuka na mawingu na hapo ndipo ataihukumu dunia. baada ya kuihukumu dunia wale wachafu/waliomkataa kama wakatoliki, watatupwa ziwa la moto, ila wale watakatifu waliookoka na kuishi maisha matakatifu (jua ukiokoka usiishi maisha matakatifu unapoteza muda), watatawala naye Yerusalem mpya itakayoshuka toka mbinguni miaka 1000, na baada ya hapo ndio watatawala na Bwana milele na milele. sasa hapo kuna nafasi gani ya watu kuokoka tena? kungekuwa na ulimwengu miwngine kuokoka Yesu si angesubiri tu ulimwengu huo mwingine ufika ndio ashuke kuukomboa ulimwengu? mnadanganywa hadi lini?
Hivi mbinguni ni sehemu (Physical place) au ni hali (state of holiness)?
 
Je wewe unajua kabla ya kifo chake aliongea/ aliomba nini kwa Mungu wake?!
Maandiko yanasema.. “Your ways are not my ways”. Isaiah 55: 8-9

Aliomba msamaha Lissu ?.
Aliomba msamaha aliowapora fedha ?.
Aliomba msamaha waTZ kwa kupora uchaguzi ?.
Aliomba msamahaa wazazi wa Ben ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu uchumi ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu mahusiano ya kimataifa hasa nchi jirani ?.

Hicho kiherehere cha Roman Catholic kinatoka wapi zaidi ya kudumaza waKristo kiimani na hata namna bora ya kutumia akili zao.

Kifupi hiyo misa ni chukizo mbele ya Mungu.
 
Alinajisi demokrasia ktk chaguzi za 2019 &2020.
Watu wengi waliumizwa na 'wasiojulikana' wakati wa utawala wake.
Mbona uchaguzi ulikuwa huru na haki. Mlisusa wenzenu wakagombea. Na hiyo ni demokrasia.

Alionyesha ubaguzi wa kikanda dhahiri, eg kubomoa nyumba za wachaga kimara na kuacha za wasukuma mwanza, kupeleka mirafi lukuki chato.
Kwani hao waliobomolewa kwa sababu ni Wachagga au kwa kuwa sheria ilitaka wapishe?

Ubaguzi wa kiitikadi- alisema waliochagua wapinzani wasahau maendeleo
Mara zote alisema maendeleo hayana chama. Na alipeleka maendeleo kwa Watanzania wote, hata wapinzani.

Punguza chuki mkuu, haijengi.
 
Sasa kwa nini uumie kama wewe sio mkatoliki? Pilipili usio ila kwa nini ikuwashe. Usiishi kwa kukariri maandiko, bali uelewe. Hakuna sehemu kwenye maandiko Mungu anasema ombeni chochote kwangu kwa imani mtapewa. Unaweza nisahihisha kama nimenukuu vibaya.
Mathayo 7:7
 
Back
Top Bottom