Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Kuna mengi usiyoyafahamu. Kama si Mkapa, Samia asingeendelea na nafasi yake, na leo asingekuwa Rais.

'wewe ni mtu gani usiyeweza kufanya kazi na kila mtu' - Mkapa.

Amemaliza muda wake wa kuwepo Duniani. Tumwombee. Mungu ndiye mwamuzi wetu. Machache mazuri aliyoyafanya yaenziwe. Mengi maovu aliyoyatenda, yatupe nafasi ya kujifunza, ili tuzuie yasijirudie mbeleni.
Team gaidi mnaumia

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengi usiyoyafahamu. Kama si Mkapa, Samia asingeendelea na nafasi yake, na leo asingekuwa Rais.

'wewe ni mtu gani usiyeweza kufanya kazi na kila mtu' - Mkapa.

Amemaliza muda wake wa kuwepo Duniani. Tumwombee. Mungu ndiye mwamuzi wetu. Machache mazuri aliyoyafanya yaenziwe. Mengi maovu aliyoyatenda, yatupe nafasi ya kujifunza, ili tuzuie yasijirudie mbeleni.
Tuwekee hapa hiyo video clip, audio na au hata screenshot kutoka kwenye credible source yoyote... Kwa kifupi thibitisha unachokisema.
 
Painful truth is that those allegations exist and I'm not keeping them to myself, I'm making a lot of noises about them.
I'm obligated to prove anything to anyone? I don't think so.
Mwambie kikosi kazi Cha mauaji alichokiunda kinapelekeshwa huku Kapilimba anatafutwa nae apigwe risasi 16.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom