Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Huyo mwanamke na yeye kwa nini akae na mwanaume huyu miezi Sita?

Kwa nini hakuondoka mapema?
 

We nae huyu ni dem wakukuacha? Huyu si malaya kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ushamkula achana nae
 
Mimi nampongeza zaidi kwa kuniacha. Nimeshukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…