Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Ngoja nimsaidie kukuporomoshea matusi mwanaume wewe Malaya mkubwa usiye na haya unakaa na mtoto wa kike wa mtu miezi sita bila kuonyesha nia ya kuoa au kupeleka Posa Kwa wazazi wake mzinzi mkubwa wewe

Nampongeza sana huyo Mwanamke kukuacha Sema mimi dictionary ya matusi Iko mbali Ingekuwa karibu ningekushushia matusi ya nguoni wewe mleta mada Hadi ukome
Huyo mwanamke na yeye kwa nini akae na mwanaume huyu miezi Sita?

Kwa nini hakuondoka mapema?
 
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491

We nae huyu ni dem wakukuacha? Huyu si malaya kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ushamkula achana nae
 
Nukuu:
"Umalaya umekujaa, una mwanamke mwingine ndiyo maana unanifanyia hivi ili tuachane. Na nitamvuruga huyo ma.laya wako anijue nani. Usizani yataisha tu..."

Hahahaha... Kuna mambo yanafurahisha sana...

unnamed-1.jpg
unnamed.jpg



Cc: Mahondaw
 
Ngoja nimsaidie kukuporomoshea matusi mwanaume wewe Malaya mkubwa usiye na haya unakaa na mtoto wa kike wa mtu miezi sita bila kuonyesha nia ya kuoa au kupeleka Posa Kwa wazazi wake mzinzi mkubwa wewe

Nampongeza sana huyo Mwanamke kukuacha Sema mimi dictionary ya matusi Iko mbali Ingekuwa karibu ningekushushia matusi ya nguoni wewe mleta mada Hadi ukome
Mimi nampongeza zaidi kwa kuniacha. Nimeshukuru.
 
Back
Top Bottom