Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Huyu ni kahaba mwache aende Kaa tulia baridi haiuiHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Oya Edo kissy ona hi mbweha 😀😂aisee hadi nimelia 😿😢😿
nakubaliana nawe. naenda leo kununua blanket zito sana.............asidhani amenikomoa.Huyu ni kahaba mwache aende Kaa tulia baridi haiui
hiyo kitu ni kharamu sheikhBora ungemtoaga marinda
Sijapenda mwanamke kujibu kibabe namna hiyo😂💔Na wewe Ume Anza😂😀
fundi bishoo njoo ulie😀😂Itakuwa imepigwa na vitu vizitoo, ni kulia tuu😅😅😂 kila uzi
Mkuu hapa wewe ndio umeacha wala hujaachwaHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490mkuuView attachment 2878491
ni huzuni mkuu kuna muda unatamani kulia majonziiifundi bishoo njoo ulie😀😂
Edo kissy mliaji kafika😀ni huzuni mkuu kuna muda unatamani kulia majonziii
Km 2000 plus afu service yenyewe tia maji ndinga lazima ikae juu ya mawe.Inaonekana ulikuwa unampa kazi mlima kitonga posho unaacha kichuguu.
Chuma inapiga Trip Dar-Bukoba iende irudi milleage zimesoma utaki kufanya services ya maana.
UmeyavagaaHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Wewe ni kama dulla makabila kwa zaylissa anayehongwa magari na pesa na manara.Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
😂😂😂lia mzee hizuni ziisheni huzuni mkuu kuna muda unatamani kulia majonziii
kuna kipindi kila kitu kitakua shwari mkuu hili nalo litapita mkuu inaumaaa😭😭😂😂😂lia mzee hizuni ziishe
Pole mkuu, ulale tuu🤣🤣kuna kipindi kila kitu kitakua shwari mkuu hili nalo litapita mkuu inaumaaa😭😭
usku mwema mkuuPole mkuu, ulale tuu🤣🤣
Kwako pia.usku mwema mkuu