Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe heri sana kwako Brother Analyse . Asante sanabato - stay blessed mkuu
Herbalist Dr MziziMkavu - Dr uwepo wako humu ni hazina, nakutakia afya njema, 2023 ukawe mwaka wa heri sana kwetu wote
Mentor - mkuu , legend, master natambua uwepo wako humu, japo upo slow kuengage na mada siku hizi
Tized - nakukubali sana kaka mkubwa, ulinivuta kujoin humu.
Kizzy Wizzy - umekuwa mvivu kushiriki sana mijadala, ila natambua uwepo wako
The Boss - Mr. interesting nakutakia heri 2023
Asante kwa niaba yao.Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana
Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn
mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏
WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thanks braza..merry xmass kipanga wangu.Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Kausha shee huku upenuni ujue[emoji3][emoji1550]Mwaka unaisha sasa shemeji, nilipe deni langu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
CHINUA ACHEBE AMEANDIKA KATIKA RIWAYA YAKE YA "THINGS FALL APART" KWAMBA.Haya niepende kuwatakia sikukuu njema wafuatao
Bill Lugano
mpwayungu village
Mshana Jr
rikiboy
GENTAMYCIME
inamankusweke
Extrovert
To yeye
Beesmom
Lucas mwashambwa
Kelsea
Bujibuji Simba Nyamaume
Mamndenyi
wa stendi
Ahsante Sana..ikawe kheri kwako kipenzi.. Nakupenda 😍@Rumaiya Namtakia Kheri na Mema Mengi sana kwa mwaka unaokuja Mungu amtunze sana huyu Mwanamke
WowAhsante Sana..ikawe kheri kwako kipenzi.. Nakupenda 😍