Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
So hua unapitiaa cm Za watu eehMshamba huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So hua unapitiaa cm Za watu eehMshamba huyo
🤓🤓🤓🤓🤓 Hapana hapana kabisa engineer7339550 (Architecture)So hua unapitiaa cm Za watu eeh
hahaha poa mkuu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] Hapana hapana kabisa engineer7339550 (Architecture)
No comment hapo ???...🤓🤓🤓🤓hahaha poa mkuu
Una hoja usikilizwe hapa naemfahamu ni mwanzilishi wa huu mtandao ndugu Maxence Melo japo sijawahi kumuona liveNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Me nipo iringa natumia JF Tok 2017 nmekutana na wadau wa jf wanneNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Ni mwalimu tena mvaa mibwanga
Dah mzee wa njombe unaniangushaMi na dada yangu wote tunatumia JF na tupo nyumba moja. Kuna sometimes anadanganyaga kwenye comment yupo holiday Zanzibar, wakati yupo jikoni anakanda chapati za Asubuhi.
Sema maisha yanaenda. Na yeye kuna siri ananitunzia.
Kazini watu kibao nishazijua ID zao. Wanavyo comment na wao hauwezi wadhania. Sema ndio ivo.
Punguza umbea kidogoHahaaa...niliona id ya mjomba wangu ..anajifanyaga mjanja..alikua anaomba ushauri mbona wanawake wanamkataa tatizo nini na pesa anazo...haaahaaz nlicheka kufa...sikuweza kuvumilia nikawa namtania adi amebadili id na ya sasa anaitumia kwenye kutangaza biashara zake humu .
Mm nataka ww ndo uwe wakwanza kunijua humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm nataka ww ndo uwe wakwanza kunijua humu
Ofisini kwet kila mtu anatumia jamiiforums alakini wanaficha IDs zao ili mtu akikubalaza mtandaoni usimjue.Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Tujenge familiaMjumbe wa bwana ila unanifatilia, umeanza tabia km za CW na wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya nikujue ili tugundue nini?!!
Tujenge familia
AKA na Nani malizia Sasa 😄😄😄😄
Najua mama Danny. 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wacha wee!!