Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Una hoja usikilizwe hapa naemfahamu ni mwanzilishi wa huu mtandao ndugu Maxence Melo japo sijawahi kumuona live

Huwa napenda speech zake hasa maswala yanayohusu sheria , he is very bright and he know
 
Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Me nipo iringa natumia JF Tok 2017 nmekutana na wadau wa jf wanne
 
Kwa pumba ninazo type humu afu nijulikane wee thubutuuu!! Baba Paroko anavyowausia mabinti church waige tabia zangu!! Mbona nitatengwa na kanisa nikijulikana [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi wakiniuliza khs JF nawauliza ndio vitu gani hivyo?!!
 
Hahaaa...niliona id ya mjomba wangu ..anajifanyaga mjanja..alikua anaomba ushauri mbona wanawake wanamkataa tatizo nini na pesa anazo...haaahaaz nlicheka kufa...sikuweza kuvumilia nikawa namtania adi amebadili id na ya sasa anaitumia kwenye kutangaza biashara zake humu .
 
Mi na dada yangu wote tunatumia JF na tupo nyumba moja. Kuna sometimes anadanganyaga kwenye comment yupo holiday Zanzibar, wakati yupo jikoni anakanda chapati za Asubuhi.

Sema maisha yanaenda. Na yeye kuna siri ananitunzia.

Kazini watu kibao nishazijua ID zao. Wanavyo comment na wao hauwezi wadhania. Sema ndio ivo.
Dah mzee wa njombe unaniangusha
 
Hahaaa...niliona id ya mjomba wangu ..anajifanyaga mjanja..alikua anaomba ushauri mbona wanawake wanamkataa tatizo nini na pesa anazo...haaahaaz nlicheka kufa...sikuweza kuvumilia nikawa namtania adi amebadili id na ya sasa anaitumia kwenye kutangaza biashara zake humu .
Punguza umbea kidogo
 
Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Ofisini kwet kila mtu anatumia jamiiforums alakini wanaficha IDs zao ili mtu akikubalaza mtandaoni usimjue.
 
Back
Top Bottom