Sista ndio anazingua.. hahahahDah mzee wa njombe unaniangusha
Uhalisia ukoje kama hutojaliWalikua wanabishana, wengine wanasema ni Ke, wengine wanasema ni me ila Gay, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyotoka palee nilichekaa km chizi, Lol
Najua mama Danny. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mshana uyonikiwa kwenye gari siku moja, nimesimama, kuna baba mmoja bonge kanyoa upala na mtu alienawili sana~ nilimwona akilaunch program ya jf kwenye simu yake.
Hawa vijana sio wa JFView attachment 2677585otea hapo Nani na Nani wamesimama...? ππππ Watu wanaficha Hadi sura jamani.
Kutoka Arusha kijenge juu. πππππππ Unabisha nimwambie max aweke number yako public.Mama Danny wa kutoka wapi tena?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana wa jf wanakuwaje Tena πππππHawa vijana sio wa JF
Mi namsubiria sista D anikane hapa nimpige photo sahivi anajaza maji kwenye majaba. Hana bando sijui?Kutoka Arusha kijenge juu. πππππππ Unabisha nimwambie max aweke number yako public.
Aaa mwambie nits mpa kipondSista ndio anazingua.. hahahah
Kutoka Arusha kijenge juu. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Unabisha nimwambie max aweke number yako public.
Hivi PM na wewe umefungaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wacha wee!!
Kama alivoelezwa hapa chini:Vijana wa jf wanakuwaje Tena πππππ
nikiwa kwenye gari siku moja, nimesimama, kuna baba mmoja bonge kanyoa upala na mtu alienawili sana~ nilimwona akilaunch program ya jf kwenye simu yake.
Ukimposti tu na wewe nakuposti au Unabisha nimesomea I.T Nigeria na JF sisi ni moja wapo wa moderator bisha uone πππππππππMi namsubiria sista D anikane hapa nimpige photo sahivi anajaza maji kwenye majaba. Hana bando sijui?
Hivi PM na wewe umefungaga
Sasa huyu baba si gari yake ilikuwa garage ameamua kupanda dala dala ππππKama alivoelezwa hapa chini:
Huyo mwingine simjui kabisa anAKA na Nani malizia Sasa ππππ
Huwezi kumjua ila yupo JF in loving memory legend AKA Forbes. πππHuyo mwingine simjui kabisa an
Fanya mpango ufungue PM tuyajenge weekend hiiPm getini kuna mbwa mkali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sure ndio maana bora kuwaga humble tu.Mwez uliopita nilikuwa kwenye kikao.., sasa wale wagen kuna mmoja ni mtu mzima around 50+++.., alikuwa akiperuz jf na mimi nko pembeni namkata jicho tu..
Asee humu unaweza bishana au mtukana mwenye umri sawa na wazazi