Nshakutana na members kama6.
Kakiwepo kadada flani kanaandama sana wanaume [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tukakaa bar flani pale Kimara Korogwe. (Miti mitatu kama sikosei) Baada ya stories na [emoji481][emoji482][emoji1635] [emoji238][emoji241]nikagundua ni kasingo mama kenye watoto2 ila ni mwalimu wa Kisutu Primary (kama hakudanganya) akaanzaga mizinga nikakablock
Wengine washkaji wanapiga bizines, so tunachekiana tunafanya biashara tunaachana.
Kuna jamaa kwenye uzi wa "selfika" walicomment wapo NK ya Kimara Temboni tukapeana location tukaonana maana na mimi nlikuwa hapo.
Mwingine tulikutana Kisoma Bar ya Magomeni kuna bidhaa alinketea tukagonga gambe tukaachana.