Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Hutaki hela binti maisha yako ni mafupi miaka 70 wewe hutoboi na motoni unaenda kwanini usile BataAkhuuuu thitakiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki hela binti maisha yako ni mafupi miaka 70 wewe hutoboi na motoni unaenda kwanini usile BataAkhuuuu thitakiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbana njia ni nyepesi tu ....unawajibu natumia JF ila sija jisajili.Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Ooh mekaa Dodoma hadI nachanganya majina 🤣🤣🤣 ni 5N na sio NKSamahani! Kuna mahali umeandika NK ya Kimara Temboni.
NK ina maana gani?
Nalalaje huku roho ipo juu juu, hawa watu wa jf wanataka kuleta ujanja ujanja.
Daaah aiseee 🤓🤓🤓🤓Kuna ulsema shangazi yako huwa anajiita mamamzungu
Inawezekana kuna jambo hujalijuaMi licha ya kujaribu kuwashawish friends watumie jf hakuna aliekubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka wa 7 huu sijawahi ona mtu ana app ya jf kwa simu yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Jf shida wamiliki wake wamekaa kisiasa, hawataki kuifanya jf as social media, au sehemu ya kibiashara na fun place [emoji23][emoji23]
Na ndo mana natakaga niinunue jf one day nibadili kila kitu
JF inazidi kudidimia baada ya kuachia kila post ku-trend bila kujali qualities zake. Bora ilivyokuwa zamani kila jukwaa linajitegemea hivyo kama hutaki kusoma eg mambo ya uhusiano, basi huwezi kuona chochote. Kwa kifupi members ambao wanataka ku deal na serious staff hasa ya nchi yetu wanazidi kukimbia na JF inazidi kutawaliwa na vijana wanaume wenye kujadili ngono 24/7. Watu wa seroius satff wanahamia Club House na Tweeter kwa kasi sana.Mm bado.
Tutafute namna ya kuu-promote
Kila nikijaribu kufikiri nashindwa nikaamua kufikiri kwa kutumia ujinga kusema pengine ni North Korea ya Kimara?!Ooh mekaa Dodoma hadI nachanganya majina 🤣🤣🤣 ni 5N na sio NK
Wamechelewa, mahusinao yetu hayaishi leo wala kesho. Bond imejitengeneza automaticallyWananipigia mingo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Kantri unajua kuna mtu leo mpk kakuuliza “Mwanangu nakuona we na cute wife tu” nimejisikia aibu mimi
Wewe apo ndio unautmia mbn simple tuNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Vice-versa is true iko underrated...Jf ipo overrated
Zote hazifungui picha? Nataka nilifute hiliMbili
Hutaki hela binti maisha yako ni mafupi miaka 70 wewe hutoboi na motoni unaenda kwanini usile Bata
Wamechelewa, mahusinao yetu hayaishi leo wala kesho. Bond imejitengeneza automatically
App zinakuaga na shida ya kufungua picha..Zote hazifungui picha? Nataka nilifute hili
Kutumia browser nimeshindwa
Hivi mpwayungu yukoje? 😅Miye nishakutana na rikiboy na Mpwayungu Village
🙊🙊🙊 Baby wako Nani mtaje akule shaba 😄😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baby wangu anazo zaidi ya hivyo unavyomiliki
[emoji87][emoji87][emoji87] Baby wako Nani mtaje akule shaba [emoji1][emoji1][emoji1]
HAwaku kuungisha wakupelekee moto???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nje ya hapaa?
Ila nishawahi kukuta watu wanaiongelea hii I'd yangu, nkajikaushaa nawachoraa tyuuh.