Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Mie niliwahi kukutana na mdau mwenzangu wa mtandao huu jamiiforums kwenye usaili wa uma Dala Dala ila sikubahatika kuijua id yake
 
Kwa pumba ninazo type humu afu nijulikane wee thubutuuu!! Baba Paroko anavyowausia mabinti church waige tabia zangu!! Mbona nitatengwa na kanisa nikijulikana [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi wakiniuliza khs JF nawauliza ndio vitu gani hivyo?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee uduguuu.
 
Hata mimi nipo huru..
Kuna baadhi ya mijadala humu nafatilia.
Napokua namuelekeza mtu yaani anaona me ni mfatiliaji sana kumbe code zote nachukua huku [emoji851][emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na uzuri wa humu watu wanajua mambo na wanayachambua vilivyo
Kwakweli huyu ni mimi kabisa kabisa
Ktk mijadala yote kijiweni kuanzia kiuchumi kisiasa kijamii na mengine mengi wanaaminigi mimi ndio final say
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nna wanangu hao kila kitu watakuja kunichukilia maelezo hawana smartphone hawapo active sana na yanayoendelea duniani ila wana kiu ya kujifunza
 
Back
Top Bottom