Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
π€π€π€π€π€ Vizuri sana...πππππ Wadada nawapa mafuta Mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€π€π€π€π€ Vizuri sana...πππππ Wadada nawapa mafuta Mimi.
Wee usinambiee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweupeeeeee[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeAlwatan wewe!
Kwani si mwamposa wanatoa mafuta πππππ€π€π€π€π€ Vizuri sana...
Na iwe hivyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Haya nitamsikiliza
Kijana wa hovyo kabisa an alaaahπ€π€π€π€Kwani si mwamposa wanatoa mafuta ππππ
Na wewe ni muumini wake nimekukera Kuna mama kilokole ananichukia baada ya kumponda mwamposa ππππKijana wa hovyo kabisa an alaaahπ€π€π€π€
Na iwe hivyo.
Hapana hapana kabisa...Na wewe ni muumini wake nimekukera Kuna mama kilokole ananichukia baada ya kumponda mwamposa ππππ
Khaaa yaaani mi robotsNna miaka 10 sijawah kumjua member wa JF in real life except me. Hadi huwa nahisi users ni robots π
mzee leo unachat balaaπKhaaa yaaani mi robots
Mie niliwahi kukutana na mdau mwenzangu wa mtandao huu jamiiforums kwenye usaili wa uma Dala Dala ila sikubahatika kuijua id yakeNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee uduguuu.Kwa pumba ninazo type humu afu nijulikane wee thubutuuu!! Baba Paroko anavyowausia mabinti church waige tabia zangu!! Mbona nitatengwa na kanisa nikijulikana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi wakiniuliza khs JF nawauliza ndio vitu gani hivyo?!!
Uhalisia wanaujua waliokua wananijadili, couz muhusika wao nilikua palee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhalisia ukoje kama hutojali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee uduguuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui hata walikwamaa wapiii, ilibidi wanipigiee mtungo wa kushatooo. Hawakujiongezaa tatizooo.HAwaku kuungisha wakupelekee moto???
Kwakweli huyu ni mimi kabisa kabisaHata mimi nipo huru..
Kuna baadhi ya mijadala humu nafatilia.
Napokua namuelekeza mtu yaani anaona me ni mfatiliaji sana kumbe code zote nachukua huku [emoji851][emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na uzuri wa humu watu wanajua mambo na wanayachambua vilivyo
Hasa ukute natype halafu kuna kileo mezani ππKila nikijaribu kufikiri nashindwa nikaamua kufikiri kwa kutumia ujinga kusema pengine ni North Korea ya Kimara?!
ππππ
Kumbe mdau umechanganya kodi?!