Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Anaweza kuchana michano ya hip hop tufanye battle. ๐๐๐Countrywide mbona iko wazi hiyoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuchana michano ya hip hop tufanye battle. ๐๐๐Countrywide mbona iko wazi hiyoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wajibu unatumia ila auja jisajili hapo unajitoa kwenye ushamba maana kutokutumia au kutokuijua jf ni mojawapo ya dalili za uzuzu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatutaki na mkituuliza tunawashangaa jf ndio nini?!!
Anaweza kuchana michano ya hip hop tufanye battle. [emoji1][emoji1][emoji1]
Mi na dada yangu wote tunatumia JF na tupo nyumba moja. Kuna sometimes anadanganyaga kwenye comment yupo holiday Zanzibar, wakati yupo jikoni anakanda chapati za Asubuhi.
Sema maisha yanaenda. Na yeye kuna siri ananitunzia.
Kazini watu kibao nishazijua ID zao. Wanavyo comment na wao hauwezi wadhania. Sema ndio ivo.
Wajibu unatumia ila auja jisajili hapo unajitoa kwenye ushamba maana kutokutumia jf ni mojawapo ya dalili za uzuzu
Inaonekana una roho ya korosho wewe, kasingle maza hako ukakapiga ban kisa mizinga ๐๐kasingo mama kenye watoto2 ila ni mwalimu wa Kisutu Primary (kama hakudanganya) akaanzaga mizinga nikakablock
Haniwezi nipe beat nimtembezee vitu,Wee atakukimbiza utaabika hapaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby wangu anachana michano bila kutegemea nguvu ya mjani wa Bob ooh
๐คฃ๐คฃ๐คฃnini
Na ukimjua mtu unamblock.. Hafu fanya basi [emoji392] au [emoji338]
Tayari PM kumejaa meseji za mademu baada ya hii picha ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ siwataji ni Siri wameomba nisiwataje.Wacha wee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari PM kumejaa meseji za mademu baada ya hii picha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] siwataji ni Siri wameomba nisiwataje.
Wee ni HB kijanaTayari PM kumejaa meseji za mademu baada ya hii picha ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ siwataji ni Siri wameomba nisiwataje.
Usimfukuze mtia nia wa ukweli, msikilize utabarikiwaTuyajenge yapi tena we mjumbe wa bwana!!
Mwenzio nina mpenzi tyr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
๐๐๐๐๐ Wadada nawapa mafuta Mimi.Wee ni HB kijana
Haniwezi nipe beat nimtembezee vitu,
Vitamu vichachu ugwadu laini yaani kuntu,
Uzi kuchoresha membaz hutowesha ID,
wasonga Sana jf ukiwachana Wana mind. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dau lako tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia unaweza niletea Rushaina... kweli??
Usimfukuze mtia nia wa ukweli, msikilize utabarikiwa