Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Screenshot_20230703-213355_(1).png
 
Mi na dada yangu wote tunatumia JF na tupo nyumba moja. Kuna sometimes anadanganyaga kwenye comment yupo holiday Zanzibar, wakati yupo jikoni anakanda chapati za Asubuhi.

Sema maisha yanaenda. Na yeye kuna siri ananitunzia.

Kazini watu kibao nishazijua ID zao. Wanavyo comment na wao hauwezi wadhania. Sema ndio ivo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3544]
 
Wee atakukimbiza utaabika hapaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby wangu anachana michano bila kutegemea nguvu ya mjani wa Bob ooh
Haniwezi nipe beat nimtembezee vitu,
Vitamu vichachu ugwadu laini yaani kuntu,
Uzi kuchoresha membaz hutowesha ID,
wasonga Sana jf ukiwachana Wana mind. ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Wacha wee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari PM kumejaa meseji za mademu baada ya hii picha ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ siwataji ni Siri wameomba nisiwataje.
 
Tayari PM kumejaa meseji za mademu baada ya hii picha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] siwataji ni Siri wameomba nisiwataje.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafanya uvuvi haramu
 
Back
Top Bottom