Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Jumapili nikualike mbele ya jengo la FREEMASON HALL pale posta saa 12 jioni, Kilimanjaro hotel. πππππππ UVAE NGUO NYEUSI SUTI ZA KIKENdio huyo baba Danny [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ebu niwachee kwanza mimi sikai Arusha, naishi uswekeni uko tandale kwa tumbo
Moderator kabla hawajakupa ban wanataka wakuanike hapa jf ππππππ€£π€£π€
Wakuache kabisa, guys cute wife is here to stay forever and ever wacheni maneno mingiTuyajenge yapi tena we mjumbe wa bwana!!
Mwenzio nina mpenzi tyr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hapana sio mimi ila ni mwana jf mwenzetu πππππNdio wewe huyu?!
Hata mimi situmii. Ila naujua.
Wakuache kabisa, guys cute wife is here to stay forever and ever wacheni maneno mingi
Na ukimjua mtu unamblock.. Hafu fanya basi π₯ au πHuwa tunakataa hatutumii
hapana sio mimi ila ni mwana jf mwenzetu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nshakutana na members kama6.
Kakiwepo kadada flani kanaandama sana wanaume [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tukakaa bar flani pale Kimara Korogwe. (Miti mitatu kama sikosei) Baada ya stories na [emoji481][emoji482][emoji1635] [emoji238][emoji241]nikagundua ni kasingo mama kenye watoto2 ila ni mwalimu wa Kisutu Primary (kama hakudanganya) akaanzaga mizinga nikakablock
Wengine washkaji wanapiga bizines, so tunachekiana tunafanya biashara tunaachana.
Kuna jamaa kwenye uzi wa "selfika" walicomment wapo NK ya Kimara Temboni tukapeana location tukaonana maana na mimi nlikuwa hapo.
Mwingine tulikutana Kisoma Bar ya Magomeni kuna bidhaa alinketea tukagonga gambe tukaachana.
Jumapili uje posta FREEMASON HALL saa 12 jioni uvae nguo nyeusi. πVipi tena bruh unataka tujuane π
Kuna uzi ulsema shangazi yako huwa anajiita mamamzunguYaani huyo huyo aiseeee
Jumapili nikualike mbele ya jengo la FREEMASON HALL pale posta saa 12 jioni, Kilimanjaro hotel. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] UVAE NGUO NYEUSI SUTI ZA KIKE
Samahani! Kuna mahali umeandika NK ya Kimara Temboni.Nshakutana na members kama6.
Kakiwepo kadada flani kanaandama sana wanaume π π π π tukakaa bar flani pale Kimara Korogwe. (Miti mitatu kama sikosei) Baada ya stories na πΊπ»π₯ ππnikagundua ni kasingo mama kenye watoto2 ila ni mwalimu wa Kisutu Primary (kama hakudanganya) akaanzaga mizinga nikakablock
Wengine washkaji wanapiga bizines, so tunachekiana tunafanya biashara tunaachana.
Kuna jamaa kwenye uzi wa "selfika" walicomment wapo NK ya Kimara Temboni tukapeana location tukaonana maana na mimi nlikuwa hapo.
Mwingine tulikutana Kisoma Bar ya Magomeni kuna bidhaa alinketea tukagonga gambe tukaachana.
siku moja nitakuita lodge nikufanyie naniiliiii halafu nikurekodi nije kukuanika huku jf ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatutaki na mkituuliza tunawashangaa jf ndio nini?!!
Nalalaje huku roho ipo juu juu, hawa watu wa jf wanataka kuleta ujanja ujanja.Uko makini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ulilala wewe?
siku moja nitakuita lodge nikufanyie naniiliiii halafu nikurekodi nije kukuanika huku jf [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
Wanatumia kwa siriMm bado.
Tutafute namna ya kuu-promote