Kabla ya kuzama pm muhimu walau kujua kabila..haha!!🤣🤣🤣Huwezi kuwa mshua wangu wewe,labda yule kaka yangu aliyeniachia nyonyo.....Mzee alinivuruga😂😂😂😂
Nikasema aiseee huko PM sio kwa kuongeaongea na watu!
Kwenye macho ya nje ni Mzee wa busara kabisaa nikashangaa huyu kajuaje tena Haya mambo
🤣🤣🤣🤣Dah ,muhimu ni ni kufunga PM tu au nadanganya 🙇🙇?Kabla ya kuzama pm muhimu walau kujua kabila..haha!!
Humu mtu anaweza kujichanganya namna anavyoweza, hata kufanya utoto anaweza tu akiamua, ndio maana tunajificha.
Then tukitaka kukusabahi tutaanzaje, sioni haja ya kufunga kufuli japo ni uhuru wa mtu.🤣🤣🤣🤣Dah ,muhimu ni ni kufunga PM tu au nadanganya 🙇🙇?
Ndo kitu kinafuataNdio maana nakushauri usitoe wapi unafanya kazi!kama upo kikazi kwenye kampuni ya Voda unaweza sema unafanya kazi Zantel,unaishi buza,unasema huku kimara ninapoishi,unakuwa hueleweki
WALIIONGELEA KWA MRENGO UPI MLONGO?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nje ya hapaa?
Ila nishawahi kukuta watu wanaiongelea hii I'd yangu, nkajikaushaa nawachoraa tyuuh.
Ungekuwa ni mtu wa kujichanganya kwenye usafiri wa umma kama sisi wengine ungewaona ila wewe una usafiri wako binafsi ni vigumu kuwaona.Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ndio sehemu ya kuvimba kila mtu ana hela tajiri...mimi kuna mtu namfahamu anacomentigi ana gari kali tena new model wakati kiuhalisia ana IST tena imechoka huwa nasoma nacheka hiiiiiiiiiii ( in mwendazakez voice) nae pigo zake hizo hizo mara holiday kaenda huko na huko wakati hakuna chochote.Mi na dada yangu wote tunatumia JF na tupo nyumba moja. Kuna sometimes anadanganyaga kwenye comment yupo holiday Zanzibar, wakati yupo jikoni anakanda chapati za Asubuhi.
Sema maisha yanaenda. Na yeye kuna siri ananitunzia.
Kazini watu kibao nishazijua ID zao. Wanavyo comment na wao hauwezi wadhania. Sema ndio ivo.
NakaziaNakushauri utumie akili sana kwenye kuchangia mada zako,,badilisha mambo yote muhimu,kama location,kabila,kampuni yaani unatakiwa kuwa sio wewe kabisa....yaani mtu akisona aseme duh hata jamaa yangu flan alipitia hii kumbe jamaa yake flan ndio wewe😂
Watu wa Dubai kuanzia Ijumaa, Jumamosi, Jumapili ilikuwa ingia toka kwangu.
Nilifanya kheri ya kuwakaribisha na kuwachinjia kondoo siku ya Ijumaa, nikawapiga na pilau la Dar la kufunikia kwa kaa juu, sharti kwa makuchambari na mapilipili ya kusagam ya kupika, Matunda organic, fresh ya shamba, pilipili kichaa za kusaga za kufa mtu, kila anaeila lazima atokwe kmasi na chozi.
Waaranu wakapenda sana tena sana, wanasema hii pilau nzuri kuliko ya Indonesia. Ma frsh juice ya malimao nimetupia mbegu za komamanga za kinyeji ndani, pembeni nikawawekea na juisi la mabungo nimelimwagia juisi ya pilipili mbuzi kwa mbali, kupata flavour na muwasho kwa mbaaali. Nikaikoroha kwa sukari guru,nikaichuja vizuri, tupia maji yatangawizi kidogo, ukaju kwa mbali, vihiliki vya kusaga vya ushikaji.
Dah! Mwenyezi Mungu mkubwa, mbona siku ya pili wameziuliza juisi za jana, wamekuja na makondoo yameshapikwa kutoka mahotelini huko, kimekuja kiakigari (hiace van) kizima cha catering wanalipa fadhila, rohoni mwangu nasema nyie Waarabiu hiyo mihela mlionunuwa hivyo vutu si mngenipa mimi.
Mungu si Athumani, ulifikiri walikuwa wanausikia moyo wangu, mmoja akasema twede Dubai tukanzishe biashaara ya juisi na hizi sauce za jana tu. Nikawaambia tatizo nini spices zingine zipo seasonal, wakanambia usijali, twakati wa season tutanunuwa kwa wingi mpaka za season nyingine. Nikawaambia game. Nizubae tena? Hivi nangoja warudi, lwo wameenda selous kutaza wanyama wataka huko siku tatu. Vibosile vinakula bata tu.
Kuondoka bwana wameona haya kunipa mimi mshiko si wakampa kibahasha baba mwenye nyumba. Alivyokuja nachondani, akanambia siamini na sijuwi kina nini, kufunguwa ndanu. Myamwezi mtupu ananukia upya khamsa khams a mbili. Utajaza mwenyewe. Nikamwachia mwenye nyumba kifurushi kimoja cha khamsa, kibindoni kingine cha khamsa.
mzee si ikamtoka "hawa ndiyo wageni wakuwapokea..". NIkamchomekea waoze wajukuu zako, akasema hata leo nawaachsha kusoma, wangoje nini tena, watasoma hukohuko kwa waume zao!
Hao jamani ni indurect za DP World hizo ni wagnya biashara tu wwa Dubai wapo holiday season wakaona waje kutenbelea Tanzania, maana huko kwao, huwa wanfata Mlame wao anafanya nini wapi, basi na wao ndiyo hukohuko.
Nikaona pesa si mchezo jamani.
DP World Hoyee.
[emoji41][emoji41][emoji41] ndo nakusubiria hivyo
😅😅😅😅 hizi ni robot.. alafu weye unaliju chaka langu.. mda wote jioni ukiwa around tuchekianewa kupuliza na National Anthem tulikubaliana tukutane Coco Beach tupate moja mbili hawajawahi kutokea 😁😁
Ngoja nitafute weekend moja😅😅😅😅 hizi ni robot.. alafu weye unaliju chaka langu.. mda wote jioni ukiwa around tuchekiane
mie chaka langu ni hapo hapo.. mbungani pale 😅😅Ngoja nitafute weekend moja
Si kuwa hautambuliki,Mm bado.
Tutafute namna ya kuu-promote
🙇🙇🙇🙇Then tukitaka kukusabahi tutaanzaje, sioni haja ya kufunga kufuli japo ni uhuru wa mtu.
Me nishawai kutana na wadau kama 5 na nina number zao tumefahamiana huku hukuNi mwaka sasa sijawahi pia kukutana na mdau wa jf ana Kwa ana.