Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

JF inazidi kudidimia baada ya kuachia kila post ku-trend bila kujali qualities zake. Bora ilivyokuwa zamani kila jukwaa linajitegemea hivyo kama hutaki kusoma eg mambo ya uhusiano, basi huwezi kuona chochote. Kwa kifupi members ambao wanataka ku deal na serious staff hasa ya nchi yetu wanazidi kukimbia na JF inazidi kutawaliwa na vijana wanaume wenye kujadili ngono 24/7. Watu wa seroius satff wanahamia Club House na Tweeter kwa kasi sana.
[emoji1787][emoji1787] cloub house kuna ma zero iq mengi na matambo ya kuishi mambele , kuna mpka kocha wa mapenzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndugu yetu .
 
Mi licha ya kujaribu kuwashawish friends watumie jf hakuna aliekubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka wa 7 huu sijawahi ona mtu ana app ya jf kwa simu yake [emoji23][emoji23][emoji23]

Jf shida wamiliki wake wamekaa kisiasa, hawataki kuifanya jf as social media, au sehemu ya kibiashara na fun place [emoji23][emoji23]
Na ndo mana natakaga niinunue jf one day nibadili kila kitu
Wazo lako si baya,ila ikiwa na hayo unayoyaona ni muhimu kuwepo haitachukua wiki mbili utakua ni kati ya mitandao ya kijamii ya hivyo kuwahi kutokea,

SABABU
Privacy itapeleka kuwa na post nyingi ambazo maudhui yake hayatokua mazuri, unless otherwise sijui itakuaje hapa kukiwa kama facebook
 
Zamani ilikuwa sifa kuwemo JF. Only ma intelectuals walikuwemo humu, hayta mijadala ilikuwa ya kiheshima, watu wanalumbana kwa hoja tu.

Toka vimburumatare kuwachiwa kusema sema hovyo, pamekuwa ni kama kijiwe cha wahuni tu. Woie sisi tumebadilish ID zetu za mwanzo. Mie nimo humu toka 2007 lakini kwa ID nyingine.

Na hii ntaipotezea karibuni. Nasubiri DP World waanze kazi rasmi tu.
Wewe ni mmoja wapo wa watu wanaoharibu sifa ya jamii forum. Kichwa chako hakina uwezo kabisa wa kuchanganua na kulumbana kwa hoja. IQ Yako imeegemea kwenye uislamu tu
 
Niliingia ofisi fulani kwa haraka nikamkuta profesa amelog in JF ila kuniona tu akageuza monitor ya computer iangalie upande mwingine.
Tulioko humu hatutaki tujulikane kuwa tunatumia huu mtandao kwa kuwa nature ya huu mtandao ni usiri. Hivyo ukimwambia mtu yupo humu ndo kisa Cha kuanza kukufatilia na kuhusisha michango yako kadhaa na hatimaye kukufahamu.

Mimi, pia huwa nawabia watu naijua huu mtandao lakini kupitia Facebook au nasomaga tu lakini Sina akaunti lakini ukiwa mjanja lazima utaufahamu tu huu mtandao na pia kwa ujanja huohuo hutaki watu wajue kuwa unatumia JF.
Mimi nawafahamu maprofesa wawili wa SUA,mara nyingi tukiwa site (ujenzi), huwa wakutulia wanakuwepo humu.
Nao wanajua kuwa nipo humu hivyo mada za humu tunazitoa nje na kujadili pia.lakini hatujatajiana ID 's
 
[emoji1787][emoji1787] cloub house kuna ma zero iq mengi na matambo ya kuishi mambele , kuna mpka kocha wa mapenzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndugu yetu .
Club House is a very big city. It depends on which neighbourhood are hanging! Masaki? Kwa Mtogole? Oysterbay? Kwa Maparange?
 
Mimi,mdogo wangu wa kiume na mshua najua wote ni wadau wa JF ila hakuna anaeijua ID ya mwenzie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niligundua Hilo Kuna siku tulikuwa na dogo tunaongelea mada ya Mshana Jr ya hatma za picha sijui kwenye ulimwengu wa roho, nikashangaa mshua anachekaa anasema jamaa yule anapenda sana mambo ya ulozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nikasemaaa mmmh huyu asije akawa ID yake ndio ERoni

Sasa apa mshua si keshakujua tayari umefungua code kbsa[emoji23][emoji23]
 
Mi licha ya kujaribu kuwashawish friends watumie jf hakuna aliekubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka wa 7 huu sijawahi ona mtu ana app ya jf kwa simu yake [emoji23][emoji23][emoji23]

Jf shida wamiliki wake wamekaa kisiasa, hawataki kuifanya jf as social media, au sehemu ya kibiashara na fun place [emoji23][emoji23]
Na ndo mana natakaga niinunue jf one day nibadili kila kitu
Hii app n nzuri, ninajifunza màmbo mengi sana humu,,, sema kuna wapuuzi wanaleta nyuzi za kipuuzi Kama ile kula tunda kimasihara

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
We mlongo jidanganye tu. Wale wanachuo wengine hapo kwenye 'KIDULI' wanajua na wanakujua fika wallah..!!
Mlongo hakuna anayejua km mie niko JF, uzuri wake niki log out ya huku nayaacha huku huku, ko hata kuzungumzia nehiii.

Labda mi mwenyewee siku nikiamua niwasanue watu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Nilipanda gari ya Waziri fulani mwaka 2009 kwa maongezi garini,nikakuta kishikwambi chake kikidisplay Jamii forum jukwaa la Sheria.
Sikubahatika kupata ID yake kwa kweli.

Tukio la pili ni kumuona binti yangu aliyepo UDSM mwaka wa mwisho akiperuzi kwenye jukwaa la Biashara.
 
Back
Top Bottom