Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Nilikutana na mdada anatumia kweny daladala nimesimama kwa nyuma yeye kakaa kwenye seat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi hapa akija mtu pembeni yangu na switch kwenye browser ingine, kwa kifupi hakuna mtu hapa anajua natumia JF lkn ukweli ni kwamba ndo nashinda JF!!Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
siwezi kubaliii... 😀 😀 😀Basi ndo nakujuzaaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mshenzi huyo 😅Basi ndo nakujuzaaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]
JF nikama magendo. 😂😂Niko hapa Toka 2016 ..mwaka 2017 kabla sijaama Hilo jiji la hovyo Dar nikiwa kwenye Dala Dala niliona mshua Mmoja mtu mzima yupo Kwa app anaperuzi alivyojua nmeona akatoka chap ..
Kwaninii?, umesahau wee mtu alikuja hadi PM kukuambia kuwa mie ni hivyoo? Leo unasemaa huwezi kubalii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siwezi kubaliii... 😀 😀 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie nakujuzaa, unaniona mshenzii? Haya sawa.Kumbe mshenzi huyo [emoji28]
kwambaa aseme mim ndo rikiboy??? wee ajiheshimuuu shindwaaa pepoooo...Kwaninii?, umesahau wee mtu alikuja hadi PM kukuambia kuwa mie ni hivyoo? Leo unasemaa huwezi kubalii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna JF app na TAPATALK ndani yake unazipata forums mbalimbali ikiwemo JFMkuu hivi JamiiForums ina app ngapi? maana kwenye simu yangu kuna app mbili na muonekano kati ya ya hizo ni tofuti na nyingine.
Ahahahah nakuletea package ya sigara vip?Nshakutana na
dronedrake
Gily
Mwachiluwi
Leejay49
Uboboh
Mshamba hachekwi
Ndani ndani huko kijijini.
Scopio - siya au siyabonga mdluriNdiyo ni marehemu AKA, je na huyo mwingine...? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeacha! halafu acheni ushirikina, kule kijijini mnaendaga kuroga naskia.Ahahahah nakuletea package ya sigara vip?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwambaa aseme mim ndo rikiboy??? wee ajiheshimuuu shindwaaa pepoooo...
Una bifu na mapafu yangu mkuu?Ahahahah nakuletea package ya sigara vip?
Ahahahah mimi nimeenda zangu upareni mzeeNimeacha! halafu acheni ushirikina, kule kijijini mnaendaga kuroga naskia.
Ahahhah si kitu unacho kipendaUna bifu na mapafu yangu mkuu?
Halafu mbona hauji tena,,, au unaogopa tutakuroga kijijini 😃😃😃Nshakutana na
dronedrake
Gily
Mwachiluwi
Leejay49
Uboboh
Mshamba hachekwi
Ndani ndani huko kijijini.
Sote ni nduguNshakutana na
dronedrake
Gily
Mwachiluwi
Leejay49
Uboboh
Mshamba hachekwi
Ndani ndani huko kijijini.