Uboboh
JF-Expert Member
- May 21, 2023
- 307
- 904
Kijijini sio dongo jekundu et?Halafu mbona hauji tena,,, au unaogopa tutakuroga kijijini 😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijijini sio dongo jekundu et?Halafu mbona hauji tena,,, au unaogopa tutakuroga kijijini 😃😃😃
Sio kabisa 😊🤗Kijijini sio dongo jekundu et?
every voice mattersSote ni ndugu
Bila kuattach hyo ID huo ni umbeyaNilikuwa kwenye bus ya JMC ya dar singida, kufika Dodoma ilipanda pisi moja
Kwani jamiiforum ndiyo nini na inauzwa wapi?Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Hii imekaa kama kamba fulani, hiyo coincidence haiwezekani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nje ya hapaa?
Ila nishawahi kukuta watu wanaiongelea hii I'd yangu, nkajikaushaa nawachoraa tyuuh.
Hii nakataa.Walikua wanabishana, wengine wanasema ni Ke, wengine wanasema ni me ila Gay, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyotoka palee nilichekaa km chizi, Lol
Kufahamika na kutumika ni vitu viwili tofauti,tunapenda watumie siyo kufahamu tuSi kuwa hautambuliki,
Unafahamika sana tu mama watu wengi wanaosearch google kuuliza chochote link za majibu mengi hutokea Jf (kwa lugha ya kiswahili)
Basi sawaaa.Hii imekaa kama kamba fulani, hiyo coincidence haiwezekani.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ni sawa piaa. Na uhuru wako kukubali au kukataa.
Haaaaaaa Dp words kiboko inafanya mpaka sisi vijana was chama tukose pakusimama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujumbe uwe km wa waarabu wa DP
Huyu namjua mimi, hana shida ananogesha tu storyShemeji yangu wa uchungu unayasikia Haya? Countrywide ?
Wewe story zako za upande mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani kwa simba sikutajaa? Mbna niliwatajaa pia. Km kwa Yanga alitutajia kabwilii mwenyewee, na kuna m1 had anayekulana nae namfahamu, yuko hapo Mbezi Goba.
Story mimi mwenyewe napata nyingi tu, sidhani kama hata nyingine unajua. Kaa kwa kutulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee naee, bas kuna chimbo lilipita na Tcra wakati wa pinga pinga ya....
Chimbo zipo hadi za classic, sema upewee codes uduguuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ufukunyuku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyooo anataka nimpe codes, sasa shem ufukunyukuu haumfaiii, afu wa kiume huyoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya tulizanaa uduguuuu.Story mimi mwenyewe napata nyingi tu, sidhani kama hata nyingine unajua. Kaa kwa kutulia