Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa The Boss , mtu ambaye hajaingia uwanjani l, ataujuaje uhondo wa ngoma!!??Halafu kataa ndoa nasikia wote wameoa
Mimi muhimbili nilikuta Dokta mmoja mkubwa Sana Yuko JF kwenye pc yake ..nimamuuliza Hadi I'd yakeNilipanda gari ya Waziri fulani mwaka 2009 kwa maongezi garini,nikakuta kishikwambi chake kikidisplay Jamii forum jukwaa la Sheria.
Sikubahatika kupata ID yake kwa kweli.
Tukio la pili ni kumuona binti yangu aliyepo UDSM mwaka wa mwisho akiperuzi kwenye jukwaa la Biashara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongoo kweli eti,Ha haaaaa haaaaa mwehu sana wewe,,,,,
Caca saizi ndio umekua she ila kile kipindi ulikua shemale 😂😂😂Walikua wanabishana, wengine wanasema ni Ke, wengine wanasema ni me ila Gay, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyotoka palee nilichekaa km chizi, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann jamaniii??Caca saizi ndio umekua she ila kile kipindi ulikua shemale [emoji23][emoji23][emoji23]
Mlongo vakavi vibishana ngati nene na mdala au mgosi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vangi vakajovi nene na mdala, vangi vakajovi nene na mgosi ila nna mambu ga chidalaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh nataka mdogo wangu,tukifika huko tuhakikishe tunaenda kuwabusu wale dolphin,tuhakikishe tunapiga picha jangwani tuvae vitambaa vya kiarabu,halafu tumalizie na Burj Khalifa tukajislay queen [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata nene nimanyi lepaa uduguuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]So nene wa mdala or mgosi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanitumia Dirham kwa Mpesa.Ndio utulie bibi atupe connection ya matajiri wa visima vya mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Apu mlongo nga uvajovili ve ngati wa mdala au wa mgosi..!!Mlongo vakavi vibishana ngati nene na mdala au mgosi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vangi vakajovi nene na mdala, vangi vakajovi nene na mgosi ila nna mambu ga chidalaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanitumia Dirham kwa Mpesa.
Serikali imekuwa ikiwinda wale wanaikosoa na kusahau kuwawinda wale wanaliingizia taifa hasara, hii ndio sababu nikajiita The Knowledge Seeker wakati hilo sio jina la ubatizoNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Aaah!! beberuuMi licha ya kujaribu kuwashawish friends watumie jf hakuna aliekubali 😂😂😂
Mwaka wa 7 huu sijawahi ona mtu ana app ya jf kwa simu yake 😂😂😂
Jf shida wamiliki wake wamekaa kisiasa, hawataki kuifanya jf as social media, au sehemu ya kibiashara na fun place 😂😂
Na ndo mana natakaga niinunue jf one day nibadili kila kitu
Inamaana JF ni Siri sana?Niko hapa Toka 2016 ..mwaka 2017 kabla sijaama Hilo jiji la hovyo Dar nikiwa kwenye Dala Dala niliona mshua Mmoja mtu mzima yupo Kwa app anaperuzi alivyojua nmeona akatoka chap ..
Nilikua sijuiiEeeeh ndiyooo ni wa hivyoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀asijue kumbe wewe ndio mtaalam wa kulana kimasihara!!SIJAWAHI KUBALIII kwanza mtu akiniuliza upo jf huwa namuuliza ndo wapiii 😀 😀 😀 😀
Basi ndo nakujuzaaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua sijuii