Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Kuna mtu alikujua..
Mpaka ukawa unabadilisha ID
Hadi leo naogopaga kulala peke yangu usikuMkuu iyo avatar picha Yako inanogopesha kwasababu ya iyo movie ya mazombie. Iyo movie sitaki tena kuangalia na sikuimaliza. Hadi leo naogopaga kulala peke yangu usiku
kweli aisee tunaopost vitu vya hovyo humu lazima tujiogopeπuta waambia kwamba wewe Id yako ni ipi?
Nna shida na wewe nasikia Una connection za warembo zote..Hakuna anayejua km natumia JF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia weweeHadi leo naogopaga kulala peke yangu usiku
Mkuu wewe ni mwanamke au mwanaume?
Hahahakweli aisee tunaopost vitu vya hovyo humu lazima tujiogopeπ
mimi kataa ndoa, mwanachama wa chaputa siwezi vujisha id yanguπ
Halafu kataa ndoa nasikia wote wameoakweli aisee tunaopost vitu vya hovyo humu lazima tujiogopeπ
mimi kataa ndoa, mwanachama wa chaputa siwezi vujisha id yanguπ
Bas tuache km ilivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UnaifichajeHii app nimeificha kwenye simu
tunachangamsha genge humuπHalafu kataa ndoa nasikia wote wameoa
Me tangu 1997Sijutii kuijua jf tangu 2006
Mm nalushauri anzisha yakoMi licha ya kujaribu kuwashawish friends watumie jf hakuna aliekubali πππ
Mwaka wa 7 huu sijawahi ona mtu ana app ya jf kwa simu yake πππ
Jf shida wamiliki wake wamekaa kisiasa, hawataki kuifanya jf as social media, au sehemu ya kibiashara na fun place ππ
Na ndo mana natakaga niinunue jf one day nibadili kila kitu
Kuna notification ya app hapo chini..Hata mimi situmii app ila nataka kuwa nayo tatizo nimedonload moja ya hiyo app naona haiko vizuri kama ambavyo natumia bila app, ila naona hii ya bila app iko vizuri, ndio nataka kuidonload nifanyeje?
Eeeh boss kubwaa nambieee, unataka mrembo yupii nikusogezee had mlangonii, mie ndo Dalali km kuwadi mwenye connection zake mjinii.Nna shida na wewe nasikia Una connection za warembo zote..
Kweli kina ni kirefu π€π€π€Me tangu 1997
Kuna babu sehemu alikuwa anatumia nae yupo adicted kama mimi tuu simu muda wote blue... alivyo niona alificha faster sijui alinijua... nikahisi bila shaka anaperuzi uzi wa kimasiharaNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Mwanaume unaogopa kulala mwenyewe usikuTulia wewee
kumbe bomba pisi mwenye thigh gap yakeπwengine wanasema ni Ke, wengine wanasema ni me ila Gay, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]