Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakipanga kuzichapa nistue baby nije na mchanga wapute
[emoji1787][emoji1787] ulivyo muoga wewe si utatoa mkojo kabisa. Kuna kipindi wahuni wa unga ltd waliniotea. Sema Kuna ambao tulikua tunajuana, waliponiona wakaambiana arifu rudisha ofisi.
Ukisikia mtolee ofisi huyo jua imekula kwako, unatolewa jambia
 
[emoji1787][emoji1787] ulivyo muoga wewe si utatoa mkojo kabisa. Kuna kipindi wahuni wa unga ltd waliniotea. Sema Kuna ambao tulikua tunajuana, waliponiona wakaambiana arifu rudisha ofisi.
Ukisikia mtolee ofisi huyo jua imekula kwako, unatolewa jambia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi siogopi wewe nikutanishe nao uone, sema bas wasije kunibaka buree wakanifanya mboga!! Bhangi zinazidiana

Afu baby tushasali ujue, twende tukalale
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi siogopi wewe nikutanishe nao uone, sema bas wasije kunibaka buree wakanifanya mboga!! Bhangi zinazidiana

Afu baby tushasali ujue, twende tukalale
Kweli usingizi naona unakuja
 
Acheni ujinga jf ni siri kama siri nyingine mimi mwenyewe nkiwa kwenye usafiri wa uma siperuzi kibwege mibongo mimbea ikikujua balaa

Huu mtandao unatumiwa na watu wengi with fake ID maana ya kufake ID maana yake ni siri acheni tu mtandao huu ni siri nzito

Otherwise kwa sisi tuliopitia Cuba kuna washkaji nakutanaga nao lafudhi zao tu utawajua ni wa humuhumu hata wabishe vipi...

Mara utaskia papuchi, mara mbususu, mkuu nk
 
Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.

Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.

Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Humu nahisi majini ni wengi sana😂 sijawahi kukutana na neno jamii forum akilii litamka mahali popote
 
Zile unaziitaaga sijui za chemba siku hizi huna?mtoto muongo sana wewe[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chimbooo mbna maubuyu km yoteee. Now yanaishia kule kulee,
 
Udugu ana story zake hizo za chemba, uongo kama wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee naee, bas kuna chimbo lilipita na Tcra wakati wa pinga pinga ya....

Chimbo zipo hadi za classic, sema upewee codes uduguuuu
 
Aliiponda timu yetu yanga kuwa ina wachezaji wameleft group.

Nikaja kugundua kumbe ni kashabiki ka simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani kwa simba sikutajaa? Mbna niliwatajaa pia. Km kwa Yanga alitutajia kabwilii mwenyewee, na kuna m1 had anayekulana nae namfahamu, yuko hapo Mbezi Goba.
 
Back
Top Bottom