Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Huyu ni Myahudi ujue,,, hapana taka dharau
Miafrika acheni kujinasabisha na watu wengine, be proud of yourselves hamjioni mmekamilika Hadi mjinasibishe na watu wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Myahudi ujue,,, hapana taka dharau
Unaielewa ramani ya kale lakini?
Siielewi. Nifundishe weweUnaielewa ramani ya kale lakini?
... acha uzushi; Simon Mkirene alitokea Libya eneo la Cyrene.Hii mjadala haujaisha?
Ethiopia ndio kwa akina Simon Mkirene aliyebeba msalaba wa Yesu
Kwahiyo umekasirika?!... acha uzushi; Simon Mkirene alitokea Libya eneo la Cyrene.
Nyie watu mna matatizo Sana, wangepewa magari kila kiongozi na usafiri wake,bado mngesema wameenda kufanya anasa tu ulaya,kwann wasingepanda gari la pamojaThe only African representative who refused to be packed in a bus was the President Sahile Work Zewde of Ethiopia 🇪🇹. She was asked to go by the bus. She said "I won't go like this, I need the same level of respect as others.
View attachment 2365300
View attachment 2365297
Mbwembwe tu hana loloteRaia wake wanakufa kwenye Makontena wakisafirishwa kama mazao yeye hataki kupanda bus...
Boss hanuniwi tukitaka respect tuache tembeza bakuli tutumie resources zetu kujiendeleza kuliko hivi sasa hawawezi kuwaheshimu viongozi wetu kwa sababu kama sisi tunashangaa maamuzi yao we wadhani wao wanawaonaje
Na Asia walifanyiwa hivyoKweli ile ni dharau sana waliyofanyiwa viongozi wetu wa Kiafrica.
We umejuaje!?Hii mjadala haujaisha?
Ethiopia ndio kwa akina Simon Mkirene aliyebeba msalaba wa Yesu
Wayaudi ni matajiri mbona hapo Addis Ababa pamechoka tuu..Ki asili, waafrica nasi ni watoto wa Adamu na Hawa kweli?
Kwa Waethiopia, sina shaka nao, wale wanaka asili ka Ki Yahudi Fulani hivi!
Je mataifa mengine vipi,
Uyahudi ni Imani,iliyoanzia kwa Musa,hata baba yao Ibrahim(mwarabu) hakuwa myahudiKi asili, waafrica nasi ni watoto wa Adamu na Hawa kweli?
Kwa Waethiopia, sina shaka nao, wale wanaka asili ka Ki Yahudi Fulani hivi!
Je mataifa mengine vipi,
Ki asili, waafrica nasi ni watoto wa Adamu na Hawa kweli?
Kwa Waethiopia, sina shaka nao, wale wanaka asili ka Ki Yahudi Fulani hivi!
Je mataifa mengine vipi,
hawakuwa na sababu yo yote wao kwenda huku wanajua wazi ile royal family ni ya kibaguzi to the core. walitakiwa wawaachie mabalozi wawawakilishe.Kweli ile ni dharau sana waliyofanyiwa viongozi wetu wa Kiafrica.
Abraham hakuwa mwarabu-arabian alikuwa chaldean-mkaldayo. Na ukisoma historia kwa undani, kitabu cha Yashari kinasema baba yake Ibrahim, mzee Tera alikuwa mmoja wa washauri muhimu wa Nimrod-Mkushi, a black man.Uyahudi ni Imani,iliyoanzia kwa Musa,hata baba yao Ibrahim(mwarabu) hakuwa myahudi
Iraq hawazungumzi farsi,acha upotofu, Saddam Hussein ni mwarabu au muajemi!?Abraham hakuwa mwarabu-arabian alikuwa chaldean. Kusema mtu wa maeneo ya Iraq/iran anayezungumza farsi ni mwarabu si sahihi.