mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hauwezi isha leo huuHii mjadala haujaisha?
Ethiopia ndio kwa akina Simon Mkirene aliyebeba msalaba wa Yesu
Si unajuwa watu wanapenda ligi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauwezi isha leo huuHii mjadala haujaisha?
Ethiopia ndio kwa akina Simon Mkirene aliyebeba msalaba wa Yesu
hawakuwa na sababu yo yote wao kwenda huku wanajua wazi ile royal family ni ya kibaguzi to the core. walitakiwa wawaachie mabalozi wawawakilishe.
walichotendewa ni sahihi ili wajifunze. mabalozi wana kazi gani? kwanza hawakupata hata wasaa wa kuzungumza na charles isipokuwa wale ambao bado anawatawala-The Common Wealth realm
Kujazwa kwenye "school bus" kama watoto wa Tusiime au St Mary.Kivipi
siyo kweli. kabla ya malkia kandake kutiwa mimba na solomoni ndipo solomon alipeleka waisraeli wachache huko na wakaanza kuzaana. si kwamba waethiopia wote ni wayahudi never...ethiopians, djibout, somalis, eritreans possibly yemenis come from the same root.Ki asili, waafrica nasi ni watoto wa Adamu na Hawa kweli?
Kwa Waethiopia, sina shaka nao, wale wanaka asili ka Ki Yahudi Fulani hivi!
Je mataifa mengine vipi,
Respect
Song by Lucky Dube
When you flash that badge
You want everyone to shiver
When you flash that badge
You want everyone to worship you
I got no time to worship humankind
I only worship the Almighty (the Almighty)
Through His prophets I have learned
To give respect to everything He created
I give love to those who give me love
Love to those who give me war
I love those who hate me
I bless even those who curse me, yeah
I give love (love) to those who love me
Give love (love) to those who give me war
I love (love) those who hate me
I bless (bless) even those who curse me, yeah
C'mon show me respect
I got to see some respect
Show me, show me, show me respect
I got to, got to see some respect
Show me, show me, show me respect
You could be the president (president)
You could be his deputy (deputy)
You don't even have to know my political affiliation
You don't even have to know my religious affiliation
Respect me for who I am and not what I am
Nobody even cares about your dollars
Nobody even cares about your bling-bling (your bling-bling)
Give love (love) to those who give you love
Love (love) to those who give you war
Give love (love) to those who hate you
Bless (bless) even those who curse you
Give love to those who love you
Love to those who give you war
Love to those who hate you
Bless even those who curse you, yeah
Give me respect
I wanna see some respect
Gimme, gimme, gimme, respect
Show me, show me, show me, show me respect
Gimme, gimme, gimme... (respect)
Give me respect
I wanna see some respect
Gimme, gimme, gimme respect
Show me, show me, show me, show me respect
I wanna see some respect
Gimme, gimme, gimme respect
Show me, show me, show me, show me respect
Source: Musixmatch
Songwriters: Lucky Dube
Respect lyrics [emoji2398] Cotillion Music Inc., East Memphis Music Corp., Music Of Everhip-hop, Trinity Music, O R M Inc
Paragraph ya kwanza imenichekesha mkuu 😂😂😂.Again miafrika acheni kujinasabisha na watu wengine. Hao mizungu, miyahudi, miarabu mnaolazimisha undugu nao wanatamani hata kujiua wakisikia mnajipendekeza kwao.
Nenda Israel uone masahibu wanayopitia wahabeshi waliosema wao ni wayahudi na kutaka kwenda Israel.
Ethiopians Kila siku wanashikwa kwenye malori TZ wakitaka kuzamia SA. Tigray bado damu zinamwagika sijui unawasifia kwa lipi?
Lile ni taifa kubwa la Afrika.Wana vitu vingi vya kikwaokwao. Lugha yao ina hati zake na nakumbuka haikuwahi kutawaliwa.Ni nchi maskini lakini viongozi wake wanajiamini sana.The only African representative who refused to be packed in a bus was the President Sahile Work Zewde of Ethiopia 🇪🇹. She was asked to go by the bus. She said "I won't go like this, I need the same level of respect as others. This has many implication. I have my own Embassy's cars for the protocol ...".
They couldn't convince her and let her to use the Ethiopian Embassy protocol.
View attachment 2365300
View attachment 2365297
Usiwashangae kwa kujidhalilisha maana huwa wanasema bora kuwa mbwa ulayaMiafrika acheni kujinasabisha na watu wengine, be proud of yourselves hamjioni mmekamilika Hadi mjinasibishe na watu wengine.
Ya AfrikaSijui Ule mmbasi uliwekwa bendera ya nchi gani?
Canadian prime minister alipanda basi.
"Canadian Prime Minister Justin Trudeau also said that "a lot of great conversations happen on the bus".Basi BBC walitupiga fix, mie nikiusikiliza BBC.
Nao walipanda mabasi. Waliotumia usafiri wao ni wachache sana. Mpaka mfalme wa Japan alipanda basi. Kama mtu mmoja alivyosema, heshima itatokana na hali ya wananchi wako. Sio kuwa unamiliki gari la kukupeleka kwenye msiba. Kama ni kweli kasema hayo ni kibri na majivuno yasiyo na maana.Maraisi kutoka mabara mengine walitumia usafiri upi?
hao viongozi wenyewe wanajielewa???Kweli ile ni dharau sana waliyofanyiwa viongozi wetu wa Kiafrica.
Labda anataka heshima yake kama yeye binafsi,lakini kama taifa hapana! Lakini Waethiopia huwa wanakataa kabisa kutambulika kama Waafrika! Sisi wenye rangi nyeusi na nywele kipilipili tunahesabika kama watumwa!Anataka heshima gani wakati raia wake kila siku wanakamatwa kwenye mataifa mengine kama mizigo kwenye malori!!
Mwambieni arekebishe hali ya maisha ya raia wake haone kama hataheshimiwa!