Mwakilishi pekee kutoka Afrika aliyekataa kupanda basi ni Rais Sahile Work Zewde wa Ethiopia

Mwakilishi pekee kutoka Afrika aliyekataa kupanda basi ni Rais Sahile Work Zewde wa Ethiopia

Siku wakija inatakiw tuwajaze kwnye daladala ...Mbav zao!!
 
Iraq hawazungumzi farsi,acha upotofu, Saddam Hussein ni mwarabu au muajemi!?
upotofu gani wewe...nimestroke nikaweka Iran ndiyo nimeiwekea farsi au hukufundishwa shule? kwa taarifa yako farsi is among the minority languages za iraq ukiachilia zingine kubwa kama arabic, kurdish, Turkmen,Syriac na armenian
 
Nasikia na Hamonizer alienda kibabe kwenye msiba

IMG_20220923_090340.jpg
 
Sisi wa kwetu kila akipiga hesabu ya kukatwa mirija ya kuomba omba pesa na safari za ulaya akaona bora apande boda.
 
Boss hanuniwi tukitaka respect tuache tembeza bakuli tutumie resources zetu kujiendeleza kuliko hivi sasa hawawezi kuwaheshimu viongozi wetu kwa sababu kama sisi tunashangaa maamuzi yao we wadhani wao wanawaonaje
Nilifurahi sana sana nadhani akili itawakaa sawa taratiiiibu maana wenyewe huwa wanawafavour dhidi ya watu wao wanaoteseka na njaa
 
Ndio mana mkoloni hakutawala pale
 
Tsh anahoja ila angeboresha kidogo swali lake, kwamba ukiachilia mbali usafiri wa bus, kulikua na utaratibu mwingine?

Hapo ndio utaona Canada,US,Israel na wengine wao walikua na misafara Yao.
Canadian prime minister alipanda basi.
 
Nyie watu mna matatizo Sana, wangepewa magari kila kiongozi na usafiri wake,bado mngesema wameenda kufanya anasa tu ulaya,kwann wasingepanda gari la pamoja
Hivi KWa umoja wao viongozi wa Afrika wangeamua kutopanda wote ,na hata kutohudhulia msiba wao ilikua na shida GANI?

Sio mda wote utakua na msimamo ila kwenye Mambo ya kijinga lazima kuonesha msimamo mbwai mbwai tu kwani nini Bwana, na ingekua funzo kwao,

Nchi zote ni sawa ila sio sawa sawa, na Marais wote ni sawa kicheo ila sio sawa kiuchumi

KWa mantiki ya cheo walitakiwa treated the same,

But all in all Marais wa Afrika wapunguze mbembwe wawapo kwenye nchi zao , kumbe kuishi simple life inawezekana,

Acheni misafara ya ajabu, Yani watu wanasubili masaa wa kadha kisa anapita mtu mmoja

Wakatazeni wanao watwika utukufu maana ndo huwatia majivuno
 
Mwalimu wangu wa historian kumbe alikuwa muongo...eti Ethiopia haikutawaliwa na wakoloni kwasababu za kijiografia....milima, mabonde, na makorongo! Hahaha...kumbe ni "mind set" zao tu!
 
Back
Top Bottom