Mwakilishi wa Kampuni ya N-Card: Taarifa inayosambaa kuhusu Yanga SC kuizidi Simba SC mapato ni Uwongo

Mwakilishi wa Kampuni ya N-Card: Taarifa inayosambaa kuhusu Yanga SC kuizidi Simba SC mapato ni Uwongo

Mtoa mada mwenyewe sasa
 

Attachments

  • 1691394002151.jpg
    1691394002151.jpg
    24.6 KB · Views: 1
Hata kuhusu Wewe 'Kuwekwa' Kunakotukuka pia niliisikia huko huko Redioni ambako unakudharau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah we mzee wewe
 
Hahahaaa!Wa buku 5 unawezaje mzidi wa buku 10?
Wewe wa buku 5 umeingiza mashabiki elfu 60 ambayo ni sawa na Tsh 300000000/= wakati wa buku 10 kaingiza mashabiki elfu 40 ambayo ni sawa na Tsh 400000000/=.
Imeisha hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pengine malengo ya kila timu yalikuwa tofauti timu moja ililenga kipato na timu nyingine ililenga kujaza uwanja
 
Hahahaaa!Wa buku 5 unawezaje mzidi wa buku 10?
Wewe wa buku 5 umeingiza mashabiki elfu 60 ambayo ni sawa na Tsh 300000000/= wakati wa buku 10 kaingiza mashabiki elfu 40 ambayo ni sawa na Tsh 400000000/=.
Imeisha hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Afurobaini ya kwiyo!!! Hata elfu thelathini hawakufika pale
 
Back
Top Bottom