GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo anayekufukua huyu kwa sasa?
Waambie wale Waliokuzaa waanzee kwanza Kunywa wao kisha nitamalizia na MimiSawa kaka popoma umeshinda sema usisahau vdonge vyake
Watu dizaini hiyo huwaambii kitu kwa Yanga yaoMtoa mada mwenyewe sasa
We unasikilizaga nini?Watu wa mikoani mnapenda kusikiliza redio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah we mzee weweHata kuhusu Wewe 'Kuwekwa' Kunakotukuka pia niliisikia huko huko Redioni ambako unakudharau.
Afurobaini ya kwiyo!!! Hata elfu thelathini hawakufika paleHahahaaa!Wa buku 5 unawezaje mzidi wa buku 10?
Wewe wa buku 5 umeingiza mashabiki elfu 60 ambayo ni sawa na Tsh 300000000/= wakati wa buku 10 kaingiza mashabiki elfu 40 ambayo ni sawa na Tsh 400000000/=.
Imeisha hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Uliwahesabu?Afurobaini ya kwiyo!!! Hata elfu thelathini hawakufika pale
Approximation