Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Niliona Tangu round ya Kwanza, Mwakinyo aliteleza, nikajiuliza inawekanaje avae viatu vinavyoteleza Tena Kwa big match kama hii? Same thing happened kwa round ya pili na ya tatu. Kumbe walijenga mazingira ya kumpotezea bag lake la vifaa vya mchezo na Hivyo last minute kupewa viatu vingine, pili alishampa Refa signal kuhusu anchor na hivyo Refa alitakiwa kusimamisha pambano Ili kujua shida Nini ila Refa alipeta ....
Msikilize hapa.
https://www.facebook.com/
Inatokea na InawezekanaMh!!! Kirahisi hivyo
Basi bado ni amateur tu! Ukiwa na pambano hand luggage yako ni vifaa vyako vya kazi! No something is wrong somewhereInatokea na Inawezekana
Issue ni kujishushia hadhiPole yake mtanzania mwenzetu. Il yuko vzr kama hajapigwa vile
Pole yake mtanzania mwenzetu. Il yuko vzr kama hajapigwa vile
Hajapigwawazungu hawana longolongi...kabigwa bwana
Mwakinyo Kauza pambano huyo hana loloteBasi bado ni amateur tu! Ukiwa na pambano hand luggage yako ni vifaa vyako vya kazi! No something is wrong somewhere
Kaomba rematch, tumpe mudaKauza pambano huyo hana lolote
Kala Rushwa tu huyo
haya kashunda...😁Hajapigwa