Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hahah chai...ipo katika haya maneno "nimepewa viatu vingine..."
Umepewa na nani bwana wakati kitu kama hicho timu yako inawezza kukinunua, upo UK Mwakinyo na sio Somalia...
Halafu huwa hana pair kadhaa za gloves, zile bukta, soksi, kilinda meno, mafuta yale wanapaka je hivyo havikupotea?
Umepewa na nani bwana wakati kitu kama hicho timu yako inawezza kukinunua, upo UK Mwakinyo na sio Somalia...
Halafu huwa hana pair kadhaa za gloves, zile bukta, soksi, kilinda meno, mafuta yale wanapaka je hivyo havikupotea?