Mwakinyo akiri kufanyiwa hujuma kubwa sana, inaumiza sana!

Mwakinyo akiri kufanyiwa hujuma kubwa sana, inaumiza sana!

Asilalamike sana kwanza ni pambano la kirafik na tatzo lingne wadau wanadhamin wabovu...mwakinyo bila yule babu wa handen si lolote amtafute wayamalize harafu ajipange ki rose muhando
 
Sidhani kama ni kweli
Kwa hiyo unamwamini sababu yake aliyotoa ya kupewa viatu vinavyoteleza?

Miaka yote hajui kiatu kizuri kikoje?
Hakukikagua kabla ya kukivaa.Alipokuwa akikivaa alikuwa kipofu au walimfunga kitambaa machoni .Hajui soli za kiatu kizuri kwa kikoje?

Ilikuaje viatu vyake mwenyewe ashindwe kuvipa ulinzi wa kutosha au kuwa navyo.full time?

Mwakinyo Muongo kauza pambano huyo .Takukuru msiishie ofisini tu nendeni.na kwa akina Mwakinyo
 
Niliona Tangu round ya Kwanza, Mwakinyo aliteleza, nikajiuliza inawekanaje avae viatu vinavyoteleza Tena Kwa big match kama hii? Same thing happened kwa round ya pili na ya tatu. Kumbe walijenga mazingira ya kumpotezea bag lake la vifaa vya mchezo na Hivyo last minute kupewa viatu vingine, pili alishampa Refa signal kuhusu ankle na hivyo Refa alitakiwa kusimamisha pambano Ili kujua shida Nini ila Refa alipeta ....

Msikilize hapa.


Kukiri?
 
Kwa hiyo unamwamini sababu yake ya kupewa viatu vinavyoteleza

Miaka yote hajui.kiatu kizuri kikoje?
Hakukikagua kabla ya kukivaa.Alipokuwa akikivaa alikuwa kipofu au walimfunga kitambaa machoni masikioni.Hajui solid za kiatu kizuri kwa pambano kikoje?

Ilikuaje viatu vyake mwenyewe ashindwe kuvipa ulinzi wa kutosha au kuwa navyo.full time?

Mwakinyo Muongo kauza pambano huyo .Takukuru msiishie ofisini tu nendeni.na kwa akina Mwakinyo
Hahaha turudi kule tukamshauri Yule Jamaa, Huku tuuachie wengine
 
Back
Top Bottom