Iwapo ndivyo, Namsifu Hassan ni mwerevu. Tumuige.Mwakinyo alikuwa anamfua vizuri yule muingereza shida ni kukubali zile £56,OOO ili aonekane kashindwa. Ni utoto ambao hata Anthony Joshua anafanyaga.
Khaa, we jamaa wee! 128,000,000/= ni ndogo? Pesa hiyo ni Viinua mgongo vya walimu wa primary wawili waliosota kazini zaidi ya miaka 30!Aiseeeeeeeeeeee wamuongeza dau hongo ndogo hiyo.
Kama mandoga tu kama ndie alie shinda vilePole yake mtanzania mwenzetu. Il yuko vzr kama hajapigwa vile
Kwahio kulamba asali ni bora kuliko kubeba taji?Iwapo ndivyo, Namsifu Hassan ni mwerevu. Tumuige.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
siongee bab kuna mwanangu jana saa 11 jioni katia million 1! Sijamuona online hadi sahiziUna uhakika mkuu?
Maana watu wamepoteza mamillion kwenye betting kwa ajili yake basi ikiwekana akitua aweke wazi ili waliopoteza pamoja nae waambulie chochote kwenye huo mkate alioupata
Ingawa kwa Mimi naamini ni sehemu ya mcheeezo mchezo wowote km wewe ni mwanamichezo utajua kuna kupata au kupoteza hauwezi kupata kila siku it's unpredictable when you're on the pitch lolote laweza kutokea
Watu baada ya pambano wamepoteana kabisa kila mtu kapita njia yakeU
siongee bab kuna mwanangu jana saa 11 jioni katia million 1! Sijamuona online hadi sahizi
Dah.. Inasikitisha bt inaonekana viatu amevipenda maana vilimbana enka lakini bado anavyo hadi wakati ana lala na pampas ya adidas.Kama una bando, clip hio hapoView attachment 2344995
Hili sakata lake linafanana kama yule mhuni wa nigeria.Tupeni uzoefu mnaotumia ndege, hivi ukiwa unasafiri kwenye ndege, hauwezi kuingia na kabegi kadogo (lasketi) kenye viatu na gloves ukakaweka kwenye keria kama vile kwenye mabasi?
DahBegi la viatu vyake badala ya kuwa nalo yeye aliweka wapi? Viatu viwili navyo vinahitaji begi si angeweza tembea navyo hata kwenye mfuko wa rambo
Aje azichape na mtu kazi kwanza kabla ya hiyo rematchKaomba rematch, tumpe muda