Muingereza Sam E alikula kichapo huko huko kwao mbele ya malkia..au atoke nje ya dunia kabisa?Mwakinyo aendelee kupigania hapa hapa nyumbani chini ya Marefa wakina Mlundwa na wenzake la sivyo akitoka nje tutamsahau.
Nawe unakuwa sehemu yetu ya uchawi.Hauna tofauti kabisa na mimi niliye wazi.Mchawi we na huyo mdigo mnaomroga hadi refa
Ndio uzito tofauti, lakini bado tofauti ni kubwaHalafu ujue wapo uzito tofauti
Huyo dogo hajafika hata robo ya uwezo wa Muhammad Ally,hivyo hana haki ya kufananishwa nae.Unamjua Muhammad Ali?
Yeye kushinda wewe imekusaidia nini?Mmesema ukweli mpaka sasa imesadia nini?
si kweli mkuu naangalia hapa jamaa amepigwa pambano lililopita ndio ila na bondia anae rank 26, ila kabla ya hapo alishinda tena alimpiga mmarekani kwao. na kabla ya hapo amepigwa na wamarekani wawili ambao wote walikuwa nafasi ya pili walivyompiga.Ana mwaka mzima bila pambano, katika mapambano yake manne ya nyuma alipoteza yote.Yawezekana akawa ni bondia mzoefu ila yote hayo uliyoyataja hapo ni historia ambayo si uhalisia wake wa sasa.
Katika pambano la hivyo kuwahi kuchezwa na huyo dogo basi hili ni namba moja, kila wenye macho na akili kidogotu ameona.
Ngoja wenyewe waje maana ukiona mtu anatumia nguvu nyingi kumwelezea mtu lazima kuna shidaHajacheza muda mrefu,lakini pia mapambano yake manne ya mwisho hakushinda hata moja.
Wewe kushinda kwake imekupunguzia nini?Yeye kushinda wewe imekusaidia nini?
Mwakinyo halihitaji hilo pambano.Pambano litakalo kuja kuvunja record na kuingiza hela ya maana ni Kati ya Mwakinyo na Twaha, kutakuwa ni pambano competitive sana.
Ila endapo litatokea, atakepigwa sikuhiyo atakuwa kajishusha sana kibrand na ndiomaana kuna mmoja Kati yao hataki kabisa hata kusikia kuhusu hicho kitu (hajiamini kabisa)
Unamjua Muhammad Ali?
Mzee wa dharau yupo ulingoni?!
Dunia ya leo inawezekana kupika dataMpinzani mbovu mlevi bado refa kabeba jinga Mwakinyo. Yaani hamna kitu. Ashuke na Kiduku tukate ngebe sio atuletee wabeba matofali huko nje. Mnawaandalia tu cv. Hovyooo
Milioni 60 labda wewe mwenyewe pambano lilikuwa bado refa kafanya mautupolo ambayo hata yule dada njau asingefanya kama azam inaonekana duniani ni aibu kwa nchiDunia ya leo inawezekana kupika data
Uwadanganye watu million 60?
Mwakinyo yupo vizuri.
Yaani atoke mtu anawambia wapiganeMwakinyo halihitaji hilo pambano.
Twaha ndio muhitaji wa pambano, Mwakinyo hana atakachofaidika zaidi ya kufurahisha watu ila ki CV hawezi gain chochote.
Mwakinyo anaishi kama celebrity( ukitazama hata instagram yake utagundua), anajiona mbali sana.
Mpinzani mbovu mlevi bado refa kabeba jinga Mwakinyo. Yaani hamna kitu. Ashuke na Kiduku tukate ngebe sio atuletee wabeba matofali huko nje. Mnawaandalia tu cv. Hovyooo
100%Huo ndo uhalisia.
Mimi mmoja wa hao watuKuna watu walitamani mwakinyo apoteze
Ova