Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni


Msela wa mtaani tu hana haki kabisa kuhoji PhD ya mtu yoyote hata kama ina mashaka maana hana tools kitaaluma za kufanya hivyo.
 
Unaongelea nyusi zilizo nyonyoka baada ya kulishwa sumu na watu wa richmond?
Ndiyo hao-hao kwanini yeye Mwakyembe mwenye ushahidi hajafanya hima hii kesi ya Richmond ipelekwe kwenye mahakama ya mafisadi mliyoipamba hadi kwenye ilani ya CCM??

Mtatumia majengo ya mahakama ya mafisadi kama stoo ya mkaa mpaka lini au mpaka mnyonyoke tena mpaka kope za macho???
 
 
Richmond ilikua HARAM,Dowans ikawa halali,Symbion Power ni halali pia. Hii ni dhihaka ya karne.Na kwa mambo kama hayo, hata ripoti ya Richmond ya Dr Mwakyembe haina maana tena.
 
Kama kuna siku mwakyembe kaongea pumba basi ni leo

Yani pumba first grade, yeye alisema report ya Nape haijakamilika kisa bashite hajaojiwa yet walifanya jitihada zote za kumtafuta ila aliwakimbia

Leo anasema report yake ya richmond ambayo alifunga safari hadi nje kwenda kutafuta ushahidi lakini alishindwa kumuhoji Lowassa aliyekuwa hapa ni kamili,na hakuona haja ya kumuhoji Lowassa

Seriously halmashauri ya kichwa chake sijui kama ipo sawa
 
Mbona Mwakyembe anajichanganya, yeye ndiye aliye present hii ishu Bungeni na mapendekezo yake. sasa ni jukumu la bunge kuyashughulikia kama ilivyopendekezwa na wahusika wakibainika wapelekwe mahakamani. sasa leo hii the so called PhD holder anaibuka na hoja ya kipumbavu....
 
Kama inawauma basi si ileteni ifufuliwe? Lowassa atafungwa.
Lowassa alibaki Bungeni kwa miaka zaidi ya 7 Bungeni baada ya Ripoti ya Kamati Teule aliyokuwa anaiongoza Mwakyembe kuwasilishwa Bungeni na mapendekezo yake kupelekwa Serikalini. Sasa kwa muda wote huo wa miaka 7 kilimshinda nini Mwakyembe kuleta hoja hiyo Bungeni leo anataka tena iletwe na watu wengine? Yeye si ndiye mwenye huo ushahidi. Airudishe tu!!
 
Hapa ishu sio Lowasa ila ripoti ya kamati ya Mwakyembe.

Kama Lowassa anahatia na report ipo Kelele ya nini Bungeni apeleke mahakamani.

Tatizo Mwakyembe hajitambuai yupo kama yupo tu.
 
Mahakama ya Mafisadi haina watuhumiwa kama Lowassa ni Ufisadi kwanini asiwe mteja wa Kwanza kupelekwa??Sababu wanajua Mafisadi ni akina Mwakyembe wenyewe wanapiga Kelele tu.

Hakuna kitakachosemwa na hiki Chama Cha Mauaji kikawa kuzuri.
Choo kilihamia chumbani
 
Inamaana mahakama ya mafisadi mtafugia popo mpaka lini??


Nasubiri 'reaction' yako itakuwaje, kama hao unaowatete wakiwa kwenye orodha ya washitakiwa kwenye hiyo mahakama ya kufugia pop


Mwakyembe akili yake ilinyonyoka na zile nyusi kipindi kilee.

Usitukane mkunga uzazi ungalipo. Na siamini mtu mzima unaweza kuandika maneno ya kebehi kama hayo, hata kama mtu unamchukia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…