Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Me nipo my friend. NambieVizuri ,nilikumis sana 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nipo my friend. NambieVizuri ,nilikumis sana 😊
YeahKimsingi amejinyonga kwa sababu ya ugumu wa maisha
Watumishi wote wenye kipato duni kukopa nikama tabia, hata kama hana haja muhimu atakopa tu hysusani waalimu,......waalimu wangesitisha kukopa kwa miaka 10 tu benki nyingi zitafungwa na matajiri wengi watafirisika kabisaMwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoanikilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.
Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kibwa (kaushadamu)
Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekiwa akijikuta hana chochote.
Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki Kwa namna yoyote.
Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Matatizo yasikie kwa mwenzako tuMwalimu mjinga na amejaa tamaa alivyochukua mkopo hakuona kama riba ni kubwa??je alilazimishwa? Mwalimu anapigwa maisha anakimbilia kujiua napata mashaka na quality ya alichokuwa anafudhisha watoto wetu.
Fungua pmMe nipo my friend. Nambie
Me nipo my friend. Nambie
Apa panatosha mkuu pm unataka kumdanganya sasa😁😁Fungua pm
Tunazingatia privacy 😃Apa panatosha mkuu pm unataka kumdanganya sasa😁😁
Una umri gani? Waswahili walisema kua uyaone. Miaka ya nyuma kuna dada mmoja alijinyonga na tulipokuwa kwenye mazishi yake kuna jamaa mmoja alitoa maneno makali kuliko ya kwako. Alikuwa anakashifu na akawa anacheka kama yuko kwenye sherehe. Haikupita miezi sita tukasikia jamaa naye kanywa sumu. Siyo kwamba nakutisha wala nasema na wewe utafikwa na jambo baya, la hasha. Nataka kukujulisha kuwa mtu anayejinyonga anakuwa hayuko kwenye mental state yake ya kawaida. Wengi wanaweza kuwa wanaugua depression hivyo akili zinabadilika kabisa na kuona hakuna faida ya kuishi. Kwa kifupi elewa tu kuwa siyo yeye anafanya maamuzi bali kuna nguvu ambayo inamuongoza.Mwalimu mjinga na amejaa tamaa alivyochukua mkopo hakuona kama riba ni kubwa??je alilazimishwa? Mwalimu anapigwa maisha anakimbilia kujiua napata mashaka na quality ya alichokuwa anafudhisha watoto wetu.
Una roho ngumu sana🤣Pole sana,nadhani marehemu kuna sehemu kaficha,salary slip yangu haipumui ila sina mpango wa kujinyonga na wala sijawahi hlkuwaza huu upuuzi,yeye kakwama wapi?
Mimi nikisikia habari za taasisi kukopesha fedha lazima nitie mguu,poor and coward teacher kafa na kuacha huzuni kwa ndugu
NakaziaApa panatosha mkuu pm unataka kumdanganya sasa😁😁
Nimepigwa ban private messages mkuu, nambie hapahapa kama hutojali🙏🙏Fungua pm
Vipi huko uliko kuna taasisi yoyote inakopesha pesa?Una roho ngumu sana🤣
Inawezekana kuchukua mikopo mingi kama hivyo?Pole sana,nadhani marehemu kuna sehemu kaficha,salary slip yangu haipumui ila sina mpango wa kujinyonga na wala sijawahi hlkuwaza huu upuuzi,yeye kakwama wapi?
Mimi nikisikia habari za taasisi kukopesha fedha lazima nitie mguu,poor and coward teacher kafa na kuacha huzuni kwa ndugu
Kipi kipya mkuu wakati nimekuwekea salary slip?Inawezekana kuchukua mikopo mingi kama hivyo?
Hadi Platinum inaonekana kwenye salary slip?