Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoanikilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kibwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekiwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki Kwa namna yoyote.

Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Kuna mwingine Mwanza so Mwalimu kajinyonga kisa kausha damu juzii
 
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoanikilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kibwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekiwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki Kwa namna yoyote.

Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Kama ulisoma form four na hukuelewa Hesabu za Compound Interest basi kwenye mikopo watakupiga sana.

Kile kilichoandikwa kama Interest % sicho wanachokata.

Ndio hapo Mteja anaanza kulalamika kuwa alidanganywa
 
Pole sana,nadhani marehemu kuna sehemu kaficha,salary slip yangu haipumui ila sina mpango wa kujinyonga na wala sijawahi hlkuwaza huu upuuzi,yeye kakwama wapi?

Mimi nikisikia habari za taasisi kukopesha fedha lazima nitie mguu,poor and coward teacher kafa na kuacha huzuni kwa ndugu
Kumbe kuna bank ukikopa wanakukata elf kumi tu kwa mwezi
 
Huyu ameuawa . Mimi naishi maeneo haya na story yake ipo............!!!!!!😳😳😳😳
 
Pole sana,nadhani marehemu kuna sehemu kaficha,salary slip yangu haipumui ila sina mpango wa kujinyonga na wala sijawahi hlkuwaza huu upuuzi,yeye kakwama wapi?

Mimi nikisikia habari za taasisi kukopesha fedha lazima nitie mguu,poor and coward teacher kafa na kuacha huzuni kwa ndugu
Unakuta amekopa akahonga na mchepuko anakuja kuukuta na Mwanaume mwingine.
Mzee bora tu uondoke duniani.
 
R.I.P Mwalimu.

tunamuomba Makonda aingilie hii kero ili iweze kutatuliwa na mamlaka husika.
 
Pole sana,nadhani marehemu kuna sehemu kaficha,salary slip yangu haipumui ila sina mpango wa kujinyonga na wala sijawahi hlkuwaza huu upuuzi,yeye kakwama wapi?

Mimi nikisikia habari za taasisi kukopesha fedha lazima nitie mguu,poor and coward teacher kafa na kuacha huzuni kwa ndugu
Urongo.
 
Una umri gani? Waswahili walisema kua uyaone. Miaka ya nyuma kuna dada mmoja alijinyonga na tulipokuwa kwenye mazishi yake kuna jamaa mmoja alitoa maneno makali kuliko ya kwako. Alikuwa anakashifu na akawa anacheka kama yuko kwenye sherehe. Haikupita miezi sita tukasikia jamaa naye kanywa sumu. Siyo kwamba nakutisha wala nasema na wewe utafikwa na jambo baya, la hasha. Nataka kukujulisha kuwa mtu anayejinyonga anakuwa hayuko kwenye mental state yake ya kawaida. Wengi wanaweza kuwa wanaugua depression hivyo akili zinabadilika kabisa na kuona hakuna faida ya kuishi. Kwa kifupi elewa tu kuwa siyo yeye anafanya maamuzi bali kuna nguvu ambayo inamuongoza.
Mwenyezi Mungu atu hifadhi kwa kweli naunga mkono hoja YAKO...

Last two years Kuna mpwa wangu alikua teacher alijinyonga inasemwa kua alimchapa mwanafunzi ambae familia yao walikua wanaogopeka kwa uchawi baadae jioni akakutwa amenin'ginia chumbani akiwa amefariki hakua na ugomvi na mke wake Wala mtu yeyote..

Very sad
 
Back
Top Bottom