Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoanikilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kibwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekiwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki Kwa namna yoyote.

Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Haya ndio mambo ya kujinyogea, sio sijui mpenzi kafanyaje, sijui maisha magumu, "hongera" watu wa Moshi kwa kujinyonga kwa mambo ya maana...
 
Una umri gani? Waswahili walisema kua uyaone. Miaka ya nyuma kuna dada mmoja alijinyonga na tulipokuwa kwenye mazishi yake kuna jamaa mmoja alitoa maneno makali kuliko ya kwako. Alikuwa anakashifu na akawa anacheka kama yuko kwenye sherehe. Haikupita miezi sita tukasikia jamaa naye kanywa sumu. Siyo kwamba nakutisha wala nasema na wewe utafikwa na jambo baya, la hasha. Nataka kukujulisha kuwa mtu anayejinyonga anakuwa hayuko kwenye mental state yake ya kawaida. Wengi wanaweza kuwa wanaugua depression hivyo akili zinabadilika kabisa na kuona hakuna faida ya kuishi. Kwa kifupi elewa tu kuwa siyo yeye anafanya maamuzi bali kuna nguvu ambayo inamuongoza.
Huna akili.unatetea mtu kujiua kwa sababu ya kibwege ivo???

Hardtime niliyopitia na ninayopitia angekuwa huyo bwege wako ashakufa tangu 2019
 
Awamu ya sita hii utashangaa hadi huyo anaesifiwa kuupiga mwingi akajinyonga
 
Huna akili.unatetea mtu kujiua kwa sababu ya kibwege ivo???

Hardtime niliyopitia na ninayopitia angekuwa huyo bwege wako ashakufa tangu 2019
Tofauti yangu na wewe ni kwamba mimi nakwenda kwa hoja za kisayansi na siendi kwa matusi kama wewe. Watu hukabiliana na nyakati ngumu kwa njia tofauti kutokana na mchanganyiko wa mambo mengi. Na yapo mengi eg. uvumilivu wa kisaikolojia, mbinu za kukabiliana, mitandao ya kusaidia, uzoefu wa zamani, afya ya akili, na tabia za kibinafsi. Aidha, matatizo ya afya ya akili yanaweza ku-play part kubwa katika jinsi watu wanavyokabiliana na hali ngumu. Ni muhimu kutambua kwamba kila mtu ana njia au namna yake ya ku-handle matatizo, na sababu zinazochangia katika wazo la kujidhuru ni ngumu kuelezea kwani zina sura mbalimbali. Sikulaumu sana kwa sababu kama una elimu ya kubabaisha haya mambo huwezi kuyaelewa.
 
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoani Kilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kubwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekuwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen Makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki kwa namna yoyote.

Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Kuna mwingine alikopa milioni4 akaenda kuwapa Q-net.Alichoahidiwa anakifahamu mwenyewe kwani huu nimwaka wapili bado analaani hicho kitendo.
 
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoani Kilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kubwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekuwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo, Doreen Makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio hilo kwa kile alichodai hahusiki kwa namna yoyote.

Kazi kwenu waalimu na mikopo kausha damu.
Soma hii ripoti hapa Ripoti ya Haki za Binadamu 2023: Watu 57 walijiua, wengi wao ni wanaume vijana
 
Tofauti yangu na wewe ni kwamba mimi nakwenda kwa hoja za kisayansi na siendi kwa matusi kama wewe. Watu hukabiliana na nyakati ngumu kwa njia tofauti kutokana na mchanganyiko wa mambo mengi. Na yapo mengi eg. uvumilivu wa kisaikolojia, mbinu za kukabiliana, mitandao ya kusaidia, uzoefu wa zamani, afya ya akili, na tabia za kibinafsi. Aidha, matatizo ya afya ya akili yanaweza ku-play part kubwa katika jinsi watu wanavyokabiliana na hali ngumu. Ni muhimu kutambua kwamba kila mtu ana njia au namna yake ya ku-handle matatizo, na sababu zinazochangia katika wazo la kujidhuru ni ngumu kuelezea kwani zina sura mbalimbali. Sikulaumu sana kwa sababu kama una elimu ya kubabaisha haya mambo huwezi kuyaelewa.
Wewe mwenye elimu isiyo ya kubabaisha kitu gani kipya ulichoongea hapa zaidi ya blah blah za hapa na pale....mtu unayejitambua huwezi kujidhurumu uhai kwa sababu nyepesi ya madeni......nimekuuliza swali jepesi wakati anakopa hakuona kama riba ni kubwa???alilazimishwa kwa kushikiwa bastola???ulitaka aachiwe asilipe pesa za watu alizokopa ili asijiue????

Naamini hilo deni hata M15 halifiki....
 
Back
Top Bottom