Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

UTATA umegubika kifo cha Mwalimu Anthony Sulle wa shule ya sekondari Ebenezer iliyopo Sango wilaya ya Moshi baada ya taarifa mpya kudai mwilivwa marehemu ulikutwa hauna nguo.
Taarifa hizi zonakuja siku chache baada ya kifocha mwalimu huyo kudai zilitokana na kuzongwa na msongo wa mawazo uliotokana na mikopo kausha damu kutoka kwa Mwajiri wake.
Habari kutoka Sango nje kidogo ya mji wa moshi zinadai kuwa kwenye eneo la tukio mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa hauna nguo huku nguo zake zikiwa pembeni.
Inadaiwa ndani ya mfuko wa suluari ilikutwa simu ya marehemu na karatasi yenye ujumbe unaodaiwa kuelezeq sababu ya kujiua.

Hata hivyo uongozi wa shule hiyo umekataa kutoa ushirikiano kwa wanahabari kwani mmoja wa wakurugenzi wa shule Hiyo Doreen Makundi licha ya awali kuwa tayari kuzungumza,ghafla alibadirika na kudao hahusiki na jambo Hilo.
'Ndugu yangu Hilo tukio Lina utata sana,kabla ya kifo marehemu alikuwa anaongea na mtu kwenye gari aina ya Passo ,na kesho yake ndo mwili wake unaokotwa ukiwa bila nguo",anasema mtoa taarifa wetu.


Habari ya awali hii hapa chini.



Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoani Kilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.

Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika ujumbe unaoelezea kisa cha yeye kuchukua maamuzi hayo magumu.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, ujumbe huo unadai kisa cha marehemu kuchukua maamuzi hayo ni kitendo cha Mwajiri wao kuwapa mikopo walimu yenye riba kubwa (kaushadamu)

Ujumbe huo unadai kuwa riba hiyo kubwa imemfanya kuishi kwa shida kwani kila mwisho wa mwezi amekuwa akijikuta hana chochote.

Hata hivyo mmoja wa wakurugenzi wa shule hiyo ,Doreen Makundi hakuwa tayari kuzungumzia tukio kwa kile alichodai hahusiki Kwa namna yoyote.
 

Attachments

  • 1715406040379.gif
    1715406040379.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040468.gif
    1715406040468.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406040538.gif
    1715406040538.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040607.gif
    1715406040607.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040680.gif
    1715406040680.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040759.gif
    1715406040759.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040834.gif
    1715406040834.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1715406040910.gif
    1715406040910.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406040985.gif
    1715406040985.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406041078.gif
    1715406041078.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406041148.gif
    1715406041148.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406041217.gif
    1715406041217.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041283.gif
    1715406041283.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041351.gif
    1715406041351.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041419.gif
    1715406041419.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041487.gif
    1715406041487.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041554.gif
    1715406041554.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041629.gif
    1715406041629.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041705.gif
    1715406041705.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041780.gif
    1715406041780.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041874.gif
    1715406041874.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406041946.gif
    1715406041946.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042023.gif
    1715406042023.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042092.gif
    1715406042092.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042159.gif
    1715406042159.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042226.gif
    1715406042226.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042293.gif
    1715406042293.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042361.gif
    1715406042361.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1715406042436.gif
    1715406042436.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1715406042509.gif
    1715406042509.gif
    42 bytes · Views: 4
Wewe mwenye elimu isiyo ya kubabaisha kitu gani kipya ulichoongea hapa zaidi ya blah blah za hapa na pale....mtu unayejitambua huwezi kujidhurumu uhai kwa sababu nyepesi ya madeni......nimekuuliza swali jepesi wakati anakopa hakuona kama riba ni kubwa???alilazimishwa kwa kushikiwa bastola???ulitaka aachiwe asilipe pesa za watu alizokopa ili asijiue????

Naamini hilo deni hata M15 halifiki....
You are really dumb and country pumpkin.
 
Mwalimu mjinga na amejaa tamaa alivyochukua mkopo hakuona kama riba ni kubwa??je alilazimishwa? Mwalimu anapigwa maisha anakimbilia kujiua napata mashaka na quality ya alichokuwa anafudisha watoto wetu.
Haya maisha sio kama unavyoyafikiria. Kama wafanyabiashara wakubwa wenye mbinu zote safi na chafu kuna muda unafika wanafilisiwa na mabenki vipi kuhusu mwalimu? Sio rahisi hivyo. Siku nyingine fikiri kabla ya ku-comment
 
Waalimu wakiambiwa waikatae CCM kwani inahusika na madhila yote wanayopitia kikokotoo, mshashara duni, inapelekea kujiingiza ktk mikopo ya riba kubwa lakini hawa waalimu wanakataa siyo CCM inayosababisha haya yote kwa uchache hapo juu.
Ipo siku utashindwa kupiga miti mkeo na kuilaumu CCM
 
Kama ulisoma form four na hukuelewa Hesabu za Compound Interest basi kwenye mikopo watakupiga sana.

Kile kilichoandikwa kama Interest % sicho wanachokata.

Ndio hapo Mteja anaanza kulalamika kuwa alidanganywa
Umeongea point sana. Huwa wanaambiwa riba ni 4% tu kwa mwezi. Kumbe ni 4% ya deni zima. Makato yakianza ni kilio.
 
Hivi ni kwanini ni kama walimu hawawezi kujitetea??

Uwezekano wa kuungana wote kwa pamoja upo, elimu wanayo, access ya mitandao wanayo tena kubwa mno.

Kwanini hawaungani kupinga vitu visivyokua sawa kwao..??
Inasemekana ndio kazi yenye mabosi wengi, kila boss wake ni kukoroma tu kwa wa chini yake na kutoa maagizo.

Umoja ni Nguvu, undeni platform mitandaoni zitasaidia sana kupaza sauti.
 
Umeongea point sana. Huwa wanaambiwa riba ni 4% tu kwa mwezi. Kumbe ni 4% ya deni zima. Makato yakianza ni kilio.
Kama mwanzo 4% ni 12000 basi mwezi unaofuata ni 15000 na mwezi wa nne na wa sita 4% sio 12000 bali ni 20000 na kila siku zikiendele 4% ni ileile lakini Amount tofauti.
Hii ndio Maana ya Compound Interest
 
Uwezekano wa kuungana wote kwa pamoja upo, elimu wanayo, access ya mitandao wanayo tena kubwa mno.
Mkuu wenye access ya mitandao labda walimu wa kiume ila wakike ni zero.

Anaweza asiwe hewani hata mwezi mzima bila bando na akiweka anaangalia Hamonaiza tu
 
Back
Top Bottom