Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo

Kuna mwingine Mwanza so Mwalimu kajinyonga kisa kausha damu juzii
 
Kama ulisoma form four na hukuelewa Hesabu za Compound Interest basi kwenye mikopo watakupiga sana.

Kile kilichoandikwa kama Interest % sicho wanachokata.

Ndio hapo Mteja anaanza kulalamika kuwa alidanganywa
 
Kumbe kuna bank ukikopa wanakukata elf kumi tu kwa mwezi
 
Huyu ameuawa . Mimi naishi maeneo haya na story yake ipo............!!!!!!😳😳😳😳
 
Unakuta amekopa akahonga na mchepuko anakuja kuukuta na Mwanaume mwingine.
Mzee bora tu uondoke duniani.
 
R.I.P Mwalimu.

tunamuomba Makonda aingilie hii kero ili iweze kutatuliwa na mamlaka husika.
 
Urongo.
 
Mwenyezi Mungu atu hifadhi kwa kweli naunga mkono hoja YAKO...

Last two years Kuna mpwa wangu alikua teacher alijinyonga inasemwa kua alimchapa mwanafunzi ambae familia yao walikua wanaogopeka kwa uchawi baadae jioni akakutwa amenin'ginia chumbani akiwa amefariki hakua na ugomvi na mke wake Wala mtu yeyote..

Very sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…