TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia


Mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
 
Ukiondoa kuburudisha watazamaji na wasikilizaji, hivi huyu Kashasha kaleta mabadiliko kwenye soka hapa nchini?
Rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…