TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

Mchana huu wa leo Tanzania imepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mchambuzi wa mpira wa miguu ambaye ni mwanasayansi wa soka la Tanzania na Ulaya kwa ujumla mtalaam Alex Kashakasha , maarufu kwa jina Mwalimu Kashasha ametutoka mchana huu . Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali pema peponi Amina.

 
Pumzika kwa amani, Mwalim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…