Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Bora hata uwe mlinzi kuliko kua mwalimu au sio ?bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa
Weweeee usifananishe mlinzi na kazi za laanaBora hata uwe mlinzi kuliko kua mwalimu au sio ?
Mwalimu analala darasani kaweka vyombo na jiko LA mkaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kipa kuokoa penat 1 tu kapewa mln 10
[emoji1]
Ova
I navyo onekana kijana huna majukumu! Ukikua utaachaWeweeee usifananishe mlinzi na kazi za laana
Hao wenye elfu tatu wamepanga ila mwalimu analala mpaka chooni [emoji23][emoji23][emoji23]Unazingua ww vp kibarua anayelipwa elf 3 Kwa mhindi yeye ana maisha Bora kuliko mwalimu?
Ualimu n mzuri ila ukijiongeza kupiga side hustles nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angetutajia kwanza madaraja ya mishahara ya watumishi wote wa halmashauri ili tujue hao walimu wananyanyaswa na kudharauriwa kivipi?Unazingua ww vp kibarua anayelipwa elf 3 Kwa mhindi yeye ana maisha Bora kuliko mwalimu?
Ualimu n mzuri ila ukijiongeza kupiga side hustles nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wanalipwa mshahara vizuri mbona wanalala madasani [emoji23][emoji23][emoji23]Angetutajia kwanza madaraja ya mishahara ya watumishi wote wa halmashauri ili tujue hao walimu wananyanyaswa na kudharauriwa kivipi?
Cc tunajua ndo mana tunamshangaa tu
Kijana anatakiwa atofautishe kati ya marupurupu na wizi toka kwa kada nyingine
Ndowalale ofisini kweli?? Yani mpaka nyumba wanachangiwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Saa zngne unazngua
Tuna ndugu zetu NI walimu na ndio wametusaidia na tulipofk kipmo chako sio sahihi
Ni balaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuu
Kwa hio mlinzi na Mwalimu Mara 100 mlinzi Ila sio Mwalimu ? 😆Weweeee usifananishe mlinzi na kazi za laana
Kama ni ajira mpya na vjjn hakuna nyumba za block za kupanga akaae wapNdowalale ofisini kweli?? Yani mpaka nyumba wanachangiwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu nimeambiwa jina lako lipo kwenye mkeka wa ajira za afya na elimu,utapangiwa Nangurukuru Primary SchoolWeweeee usifananishe mlinzi na kazi za laana