Capastor
Senior Member
- Jul 15, 2019
- 122
- 78
Mwenyew nmesoma hapo na huyo mwalim namjua sanaaMahiwa ndio nimesoma hapo 5 na 6 duh
Alkua anatufundisha geography
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyew nmesoma hapo na huyo mwalim namjua sanaaMahiwa ndio nimesoma hapo 5 na 6 duh
Kweli mkuu...Kama familia ya walala hoi unawahonga laki 5 sijui Mil wanakaushaaa...!! Ilaa hizi zinajikuta familia bora mbona unalooYani labda ukute wazazi hawana nyuma wala mbele utachomoka ila ka wazazi wanajielewa na wapo safi kidogo hutoki dadeki hadi ripoti ya kuoneshwa umebaka itatoka ili cha mto uone
Au sijaelewa vizuri, sijaona sehemu waliposema binti ni mjamzitoHizi sheria ziangaliwe upya na hawa mabinti itafutwe namna nyingine ya kuwalinda, kifupi hapa hakuna haki na kiumbe kitakachozaliwa kinaweza kufungua kesi na kudai fidia kubwa kwa kuharibiwa future na waliomfukuza mama na kumfunga jela baba..