Mwalimu aliyeshtakiwa kwa kumbaka Mwanafunzi ahukumiwa miaka 30 jela. Mwanafunzi afukuzwa shule

Mwalimu aliyeshtakiwa kwa kumbaka Mwanafunzi ahukumiwa miaka 30 jela. Mwanafunzi afukuzwa shule

Nataman sana sheria ya ubakaji adhabu yake itolewe kutokana na umri wa mtenda kosa. Kwa mfano adhabu atakayopewa kijana wa miaka 20 aliyesex na bint wa miaka 17 iwe tofauti na mwanaume mwenye miaka 30, 40, 50... n.k. nasema hvyo kwa sababu kijana wa miaka 20 na binti wa miaka 17 n kama rika moja na uelewa wa kuamua Mambo ni tofauti na mwanaume mwenye miaka 40 anauelewa mkubwa zaidi.
UZINIFU NI DHAMBI
wengi humu naona wanashadidia kuwa Binti kabakwa
wengine wanataka ihalalishwe kutokana na miaka
labda niseme ni KOSA LAKUFUNGWA JELA kulala hata na mfugo (kuku, mbuzi, ng'ombe nk)
sasa tukiruhusu vijana wa miaka 20 ndio wabake au wazini, si ndio watawatunga mimba watoto wetu na kugoma kulea?
Tendo la zinaa matokeo yake tunayajua, hao vijana hawatakubali majukumu bora mzinifu atakayezini na chini ya miaka 18 aende Jela
 
UZINIFU NI DHAMBI
wengi humu naona wanashadidia kuwa Binti kabakwa
wengine wanataka ihalalishwe kutokana na miaka
labda niseme ni KOSA LAKUFUNGWA JELA kulala hata na mfugo (kuku, mbuzi, ng'ombe nk)
sasa tukiruhusu vijana wa miaka 20 ndio wabake au wazini, si ndio watawatunga mimba watoto wetu na kugoma kulea?
Tendo la zinaa matokeo yake tunayajua, hao vijana hawatakubali majukumu bora mzinifu atakayezini na chini ya miaka 18 aende Jela
Sijamaanisha wa miaka 20 ndio mwenye ruhusa ya kubaka ila kwa binti wa miaka 17 ni matured kabisa na anaweza kumwingiza king kijana wa miaka 19/20 lakini likija suala la hukumu hawa vijana watakula miaka 30. Lakini mtu wa miaka 40 n matured anaweza hata kujudge Mambo so azabu yake inaweza kubwa zaidi ya huyo wa miaka 19/20
 
Daaa! kweli Dunia ina mambo Binti ana miaka mingapi kwani! mbona mmetaja umri wa teacher tu?
 
Jamani! wanaume ndiyo tunaogopa wanawake siku hizi!

lkn ukweli wanaume tunabakwa sana kupitia utani utani, mara hiyooo! na unahongwa kabisaa! watoto wa miaka 13-16 ni shida sana ndiyo umri huu huu walitufundishaga mapenzi.

sasa ndo vitawahonga vizuri ma- handsome boys.

ONYO; Mwanaume yeyote anaye jua kuwa ni dume kamili hata vibabu wasikaribiane na vitoto vya umri wa miaka 12-20. wala kuishi nyumba moja, ikitokea dharura uwe mkali km pilipili. sura ya mbuzi, amini nakwambia havikawii kusema Kaka nisaidie kuchua mapaja yanauma na ndani hakana kufuri. hata dada yako take care, ndo gear zao!

au tafuta demu faster muelezee issue ili akadhiti kuondoa usiri, wanawake wanajua kudhibitiana, ukiweka siri umeyataka!
 
Mikoa mingine hawataki kuona mgeni/Wakuja anatoboa kimaendeleo au Kiujuaji mjue, hapo Kijijin huenda Mwalimu alikuwa na tumaendeleo kumzidi Diwani baasi ikawa nongwa, lazima upigwe fitina. Wenyeji wa Vijij mnaelewa
Si kweli mkuu,nimekaa sana Lindi huko kwa miaka 10,watu wa huku ni wakalimu sana na hawana shida na mtu ninachokiona kwa Huyu mwalimu ni kuwa alikubuhu kwa uasherati na watoto wa shule na ikafikia kipindi jamii ikamchoka
 
Hitimisho;
K
ama kweli Teacher kabaka kwa kumrubuni Binti, Familia ya huyo binti itakuwa salama. endapo

Kama Teacher kabambikwa, kwa sababu ya viji-cent vya mawazo, hiyo familia ya Binti itavuna ilichopanda, soon! dhambi nyingine ziko mulemule ndani ya vitendo hazikawii kupata majibu. Bado wana nafasi ya kutubu!

Kumbukeni kila unachokifanya hapa Duniani unapanda mbegu, utaivuna, Mtenda mema mabaya hayamkuti!
 
Kama mwalimu alikuwa akila mzigo daily mpaka raia wema kumchoka, huo sio ubakaji.

Na inakuwaje mwanafunzi anaadhibiwa kwa kufukuzwa shule kama alikuwa anabakwa? Double punishment?

Haki haijaendeka kwa mwalimu. Form 5 ni mtu mzima kabisa huyo na ukute labda alianza kugawa tangia form one
Soma sheria mkuu uielewe acha kulalamika bila kujua sheria inasemaje,kuna sheria ya kufanya mapenzi na under 18 na pia kuna sheria ya kufanya mapenzi na mwanafunzi,awe na miaka 19,20,21.....ila akiwa mwanafunzi basi ni kosa na adhabu yake ni 30 yrs

Ignorance of the law excuses not. Take care.
 
mkiambiwa punyeto inasaidia mnakuwa wakali.....sasa gerezani lazima wamle jicho.....
 
Habari wanaJamiiForums,

Mwalimu George Ngallu wa Mahiwa Sekondari aliyekuwa na kesi mahakamani ya kufanya ngono na mwanafunzi wake wa kidato cha tano 2019/20 katika mchepuo wa History, Geography na Kiswahili (HGK) amakutwa na hatia na amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kuanzia tarehe 14/08/2020.

Hata hivyo Mwanafunzi naye alifukuzwa Shule na Bodi ya Shule na hata alipokata rufaa, bado Bodi ya rufaa ya Mkoa iliona bodi ya Shule ilikuwa sahihi na adhabu ya kufukuzwa Shule iliendelea.

=======

Taarifa husika iliripotiwa kama ifuatavyo;


Mwalimu kizimbani kwa tuhuma ya kumbaka mwanafunzi wake

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mahiwa, wilaya na mkoa wa Lindi, John Ngalu (38) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya mkoa wa Lindi kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wake anayesoma kidato cha tano.

Hayo yalielezwa jana na wakili wa serikali, Juma Maige alipozungumza na Muungwana Blog, ofisini mwake mjini Lindi.

Maige alisema Ngalu alipandishwa kizimbani tarehe 5 mwezi huu baada ya kufunguliwa kesi ya jinai yenye namba za jalada 4/2020, na kuongeza kuwa kitendo hicho kilifanyika kwenye nyumba anayoishi mwalimu huyo. Ambayo ipo katika eneo la shule hiyo.

Alisema mshitakiwa huyo alikutwa usiku baada baadhi ya wananchi ambao ni raia wema kutoa taarifa,kwa wananchi wenzao ambao walipokwenda eneo la tukio walimkuta akifanya mapenzi na mwanafunzi wake huyo.

Maige alisema inadaiwa kuwa kitendo cha namna hiyo kwa mwalimu huyo na mwanafunzi wake ni cha muda mrefu. Hali iliyo sababisha wananchi hao wamchoke na kuamua kumkamata.

Kesi hiyo itaendelea tena tarehe 13 Februari 2020. Huku Ngalu akirudishwa mahabusu baada kushindwa kutekeleza vigezo na masharti ya dhamana.

Chanzo: muhabarishaji.com
Alimbaka au walikuwa wanafanya mapenzi?!

Kama mwanafunzi alibakwa mbona anafukuzwa shule kwa kosa la kubakwa....?!
 
watetezi wa haki za wanawake mbona mko kimya hapa, simamieni na hili sasa..

Mama kafukuzwa shule, Baba wa mtoto jela 30yrs.
Mtoto akizaliwa baba yake yuko jela na mama yake kafukuzwa shule, what a future for this innocent kid..
Ndio unajua kuwa hapa Tanzania tunawapiga domo na watoa stress tu. Uliwapa peni na karatasi wakuandikie haki tano tu za msingi za mtoto wa kike hawana wanalojua.... Wapumbavu sana....
 
Back
Top Bottom