Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Ndugu, najua views na comments nyiingi vinapendeza.......
Umaarufu unapendeza pia ndo maana wengi wetu tunautamani.....
Kusifiwa jukwaani humu inapendeza pia..........

Ila chonde chonde, punguza kidogo maana kwa sasa umefikia kiwango kikubwa cha kukufuru.....kufuru ni jidude fulani hivi invisible ambalo lina kawaida ya kuget back to you in one way or another!

nawasilisha, uwe na jioni njema!
 
Nikupe pole tena nakupa pole, pesa ninayo ingiza hapa Kariakoo kwenye biashara yangu ya makapeti na mapazia ya nyumbani ni zaidi ya million saba Kwa mwezi hiyo sio profit ni NET PROFIT
Ulipaswa uwe unaingiza net profit kama ya 30M per month kwa haya majigambo yako.Kumbe ni 7M tu tena biashara ipo K.koo.Hizo pesa wengine wanaingiza kwenye vibiashara vyao huku pembezoni mwa Jiji.
 
Ulipaswa uwe unaingiza net profit kama ya 30M per month kwa haya majigambo yako.Kumbe ni 7M tu tena biashara ipo K.koo.Hizo pesa wengine wanaingiza kwenye vibiashara vyao huku pembezoni mwa Jiji.
Tunatofautiana, inanitosha kwenda kidimbwi
 
Jamani
Mbona kama hii hadithi ya kifo cha mpendwa wetu Monica kala hainikai kichwani?


Tokea lini jeshi la zimamoto ndo wanafuata maiti eneo la tukio na kuipeleka monchwari?

Kuna jambo halijakaa vyema hapo
 
Jamani
Mbona kama hii hadithi ya kifo cha mpendwa wetu Monica kala hainikai kichwani?


Tokea lini jeshi la zimamoto ndo wanafuata maiti eneo la tukio na kuipeleka monchwari?

Kuna jambo halijakaa vyema hapo
Simwalimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi waache Walimu na wao wanatofautiana na wewe,why unahangaika na vipato vyao sasa.Au walikuja kukopa mapazia yako ya Kichina na hawajakulipa?
Lazima tuwashauri kama hawataki ushauri wakakae na mafisi porini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…