Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani

Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu

Sio hivi hivi wana shida ya utimamu wa akili jamani. Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale

Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu

Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhabahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie

Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana Serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu

Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natamani nijue alipo huyo mwalimu nimshugulikie

Alamsiikiii
 
Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani

Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu

Sio hivihivi wanashida ya utimamu wa akili jamani
Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale

Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu

Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhbahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie

Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu

Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natman nijue alipo huyo mwl...nimshugulikie

Alamsiikiii
Piga kelele weeee ila mwisho wa siku jua mwanafunzi bila kiboko haendi na ukitaka aende bila kiboko subiri div 0 za kutosha.

Kama huja nielewa utanielewa ukikua.
 
Hawa watoto wa skuizi soft sana, mbona enzi zile tumepigwa sana, shule ya jeshi , Milambo barracks tumepigwa sana bakora za akina Mwl Chiwalo, Matwili, Matata and others
Basii aqwaahi ona matako ya babazaooo .dah Pugu sec alikuwwepo.mwamba anajiita mabagala sura nyeusi yaan bila kupiga ovyo aridhiliki baba yule ila ndie liechangia tukaiona udsm wallahi na kujua jinsi y kuishi na watu
 
Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani

Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu

Sio hivihivi wanashida ya utimamu wa akili jamani
Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale

Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu

Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhbahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie

Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu

Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natman nijue alipo huyo mwl...nimshugulikie

Alamsiikiii
Mnapoajiri wavutabangi badala ya walimu hayo ndiyo matokeo yake.
 
Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.

Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians

Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?

I'm not a teacher but let's give these guys a break
 
Hawa watoto wa siku hizi soft sana, mbona enzi zile tumepigwa sana, shule ya jeshi, Milambo Barracks tumepigwa sana bakora za akina Mwl Chiwalo, Matwili, Matata and others
Milambo barracks, nimesoma pia hapo naona umewataja wajeda tu, na kuwaacha kina selemani, masalu n.k

Kweli jf imekuwa sana
 
Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.

Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians

Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?

I'm not a teacher but let's give these guys a break
Wise words mkuu,
 
Kila kitu kina kiasi ndugu usisapoti ujinga angalia itv habari /u tube ocha kabisa angekuwa mwanao uisingeandika haya..wa mwenzioo haaa ..wingi wa waanafunxi aukupi ruksa y kupiga mtotoo kupitilizaaa
Kumbuka shida sio kupiga n kwa nn umuumize mtoto kiasi kile hanaaadabu mwambie ukimwona
..
Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.

Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians

Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?

I'm not a teacher but let's give these guys a break
 
Back
Top Bottom