Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani

Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu

Sio hivi hivi wana shida ya utimamu wa akili jamani. Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale

Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu

Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhabahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie

Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana Serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu

Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natamani nijue alipo huyo mwalimu nimshugulikie

Alamsiikiii
Watoto wanapitia mengi! Wajibu wa wazazi kuwa karibu na kuzungumza na watoto wao, kujua yoyote, mazuri au mabays yanayowatokea. Wazazi tumezaa, ni wajibu wa lazima kuwalea watoto wetu!
 
Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani

Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu

Sio hivi hivi wana shida ya utimamu wa akili jamani. Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale

Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu

Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhabahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie

Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana Serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu

Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natamani nijue alipo huyo mwalimu nimshugulikie

Alamsiikiii
wakung`utwe tu vitoto vingine vijeuri kamanini wazazi wenyewe wamewashindwa hawa watoto ndo maana wanawasukumizia walimu
 
Sitasahau siku mwanangu alipochapwa nikaenda nae shuleni nikamuadhibu aliyemchapa badala yake mimi ndio nikala Fimbo za walimu
 
Back
Top Bottom