Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We me udsm OGSasa wewe udsm hukupagusa? Basi usijali ulichokipata hakina tofauti na kile Cha Udsm mkuu.
Sasa kwanini unamshangaa mwenzako kuwa UDSM, hujui kwenye jukwaa la elimu Pdidy ndiye kiranja.We me udsm OG
Tena ile ya ukwelii sio course za kudekezwa sasa
Hahaha uligraduate na GPA ya ngapii??Kasearch 1999
Mambo ya kupiga watoto ni upumbavu sana haya ndiyo yameleta mpaka police wakawa katri Kwa watuhuniwa. Binadamu ana haki zakeMambo yanakuzwa tu, hasa huyo mwandishi wa ITV boya kabsa, badala ya kufuatilia vitu vyenye maana eti anaangaika huku na huku kubalansi story, jinga sana ningekutana naye yule mwandishi ningemcharaza fimbo, wabunge kila siku wanaibua madudu kibao katika serikali lkn sijawahi kuona anaangaika kuutafuta ukweli.
Wangu atarudisha mifupa tu....Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.
Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians
Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?
I'm not a teacher but let's give these guys a break
ELewa nilichoandika, tunayo mambo mengi ya kufuatilia pengine yangepewa umuhimu na chombo cha habari kama itv hilo la mwl kumpiga mwanafunzi wala haliwezi kujitokeza.Mambo ya kupiga watoto ni upumbavu sana haya ndiyo yameleta mpaka police wakawa katri Kwa watuhuniwa. Binadamu ana haki zake
Wewe na hao waandishi Koko wa habari waliopewa vijibahasha vya khaki kuandika na kujaza chumvi habari hiyo mlaaniwe!Kila kitu kina kiasi ndugu usisapoti ujinga angalia itv habari /u tube ocha kabisa angekuwa mwanao uisingeandika haya..wa mwenzioo haaa ..wingi wa waanafunxi aukupi ruksa y kupiga mtotoo kupitilizaaa
Kumbuka shida sio kupiga n kwa nn umuumize mtoto kiasi kile hanaaadabu mwambie ukimwona
..
Mwalimu ukiona kazi ngumu acha nenda ukawe machinga au mkulima, kupiga watoto hakukuletei maisha bora zaidi uishie jela tu.Tatizo lenu hamuelewi na mmejaa uzungu ujinga, mwaka fulani Kuna kesi ilifika mpaka kwa DEO kesi ilimuhusu mwanafunzi aliekataa kunyoa ndevu kisa mafundisho ya imani yake hayaruhusu. Alikua anasema yeye yuko tayari afukuzwe kuliko kunyoa, anasema Allah amekataa kunyoa.
Mtoto kama huyu akiadhibiwa na kuambiwa kanyoe Kuna nanga kama wewe utapiga kelele, Hawa walimu wana stress za maisha bado watoto wawasumbue mwisho kabisa raia nao wanalipuka wahurumieni zaidi sana wapeni ushirikiano
Hujajibu swali, hizo cases tunazisikia kwa goverment schools mbona privates schools atuzisikii?Hakuna aliyetosheka na mshahara so fimbo watachapwa tu na wa kwangu nasema achapwe tu
Huko Tanganyika wanachapa wanafunzi?Private fimbo zipo sana tu mbona au mwenzetu high class ulisoma Tanganyika schools?
Ha ha we mbona unateseka sana na viboko vya watoto watukutu na mimi nasema wapigwe tu!! Hapo vipi?Hujajibu swali, hizo cases tunazisikia kwa goverment schools mbona privates schools atuzisikii?
Wataka kusema Feza, IST zinachapa wanafunzi wao?
Watoto wa Mariposa akina junior hao ndio zao [emoji1787][emoji1787]ELewa nilichoandika, tunayo mambo mengi ya kufuatilia pengine yangepewa umuhimu na chombo cha habari kama itv hilo la mwl kumpiga mwanafunzi wala haliwezi kujitokeza.