Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Ndio uandike kwa herufi kubwa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann hukufanyiwa hivyo ulivyojulishwa Leo???Imenisikitisha sana
Ile ndio shule ya msingi niliyosoma 1970s
Msiichukulie poa pia kazi ya ualimu kuwa kama u "house girl". Umempeleka mtoto shule afundishwe kujua kusoma,kuandika na kuhesabu kwa shule za msingi na kwa sekondari kumudu stadi/masomo yote ya sekondari. Pamoja na hayo mtoto afundishwe nidhamu na maisha ya kijamii. Jikite/Fuatilia matokeo ya malengo yaliyopo kwa mtoto.Huyu wa leo naomba akapimwe akili jamani
Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu
Sio hivihivi wanashida ya utimamu wa akili jamani
Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale
Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu
Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhbahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie
Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu
Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natman nijue alipo huyo mwl...nimshugulikie
Alamsiikiii
P....aafu apongezwe s wajibu wake mnapiga watotooo kisa ampongezwi aiseee.......Msiichukulie poa pia kazi ya ualimu kuwa kama u "house girl". Umempeleka mtoto shule afundishwe kujua kusoma,kuandika na kuhesabu kwa shule za msingi na kwa sekondari kumudu stadi/masomo yote ya sekondari. Pamoja na hayo mtoto afundishwe nidhamu na maisha ya kijamii. Jikite/Fuatilia matokeo ya malengo yaliyopo kwa mtoto. Usipokuwa mnafiki linganishi adhabu za kipindi chako(yamkini zikakufikisha hapo ulipo) vs adhabu wanafunzi wa Leo!!! Kizazi hiki cha bloire shiiiida. Akichapwa fimbo tatu kesho hatembei mwanafunzi bali anatembea mzazi/mlezi kumshtaki mwl huku hajawahi kumpongeza mwl hata kwa mabadiliko chanya ya mtoto wake!!!! Usiombe mwanao asuswe.....zero itafika mlangoni kwako na lazima utaifungulia!!!!!
Pdidy huyo usikute anaota tu hapo na bange zake mbichiUnaandika huku unakimbizwa au nawewe ukapimwe akili?
Umeongea kiualimu haswaaa,Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.
Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians
Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?
I'm not a teacher but let's give these guys a break
Tatizo anaye mrekebisha mwanao na yeye ana tatizo anaitaji kuchapwa akae sawaMwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.
Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians
Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?
I'm not a teacher but let's give these guys a break
Si ndio kazi aliyo chagua maana anaipenda anaiweza hakuna kazi nyepesi ila uki ipenda ina kuwa nyepesiMsiichukulie poa pia kazi ya ualimu kuwa kama u "house girl". Umempeleka mtoto shule afundishwe kujua kusoma,kuandika na kuhesabu kwa shule za msingi na kwa sekondari kumudu stadi/masomo yote ya sekondari. Pamoja na hayo mtoto afundishwe nidhamu na maisha ya kijamii. Jikite/Fuatilia matokeo ya malengo yaliyopo kwa mtoto. Usipokuwa mnafiki linganishi adhabu za kipindi chako(yamkini zikakufikisha hapo ulipo) vs adhabu wanafunzi wa Leo!!! Kizazi hiki cha bloire shiiiida. Akichapwa fimbo tatu kesho hatembei mwanafunzi bali anatembea mzazi/mlezi kumshtaki mwl huku hajawahi kumpongeza mwl hata kwa mabadiliko chanya ya mtoto wake!!!! Usiombe mwanao asuswe.....zero itafika mlangoni kwako na lazima utaifungulia!!!!!
Ushasshau aina ya uandishi ws Pdidy?Unaandika huku unakimbizwa au nawewe ukapimwe akili?
Yeah, Selemani alikua ana bakora zake hivi 🤣, alafu kama anasinzia , masalu namkumbuka yule. Walikuepo wengine pia Mwl Rose, Katakula (Mkuu) Mwl Mpapi, Nyanusi etcMilambo barracks, nimesoma pia hapo naona umewataja wajeda tu, na kuwaacha kina selemani, masalu n.k
Kweli jf imekuwa sana
Yaani mi nakumbuka sijui mtoto gani alikutwa na barua ya mapenzi akiyanani tulixhezea darasa la tano wote yaani walimu walijipanga unapita kwa kila mwalimu anakuchapa isee walimu kama 15 ile siku ilikuwa balaa..Hawa watoto wa siku hizi soft sana, mbona enzi zile tumepigwa sana, shule ya jeshi, Milambo Barracks tumepigwa sana bakora za akina Mwl Chiwalo, Matwili, Matata and others
Ndiyo maana mmekuwa watu wazima wajingawajinga.Hawa watoto wa siku hizi soft sana, mbona enzi zile tumepigwa sana, shule ya jeshi, Milambo Barracks tumepigwa sana bakora za akina Mwl Chiwalo, Matwili, Matata and others
Unaandika huku unakimbizwa au nawewe ukapimwe akili?
Shule gani hyoYaani mi nakumbuka sijui mtoto gani alikutwa na barua ya mapenzi akiyanani tulixhezea darasa la tano wote yaani walimu walijipanga unapita kwa kila mwalimu anakuchapa isee walimu kama 15 ile siku ilikuwa balaa..
Manina zakoNdiyo maana mmekuwa watu wazima wajingawajinga.