DOKEZO Mwalimu anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, anawafundisha wanafunzi pia. Serikali mko wapi?

DOKEZO Mwalimu anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, anawafundisha wanafunzi pia. Serikali mko wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupitia JF ili ujumbe uwafikie wahusika kuanzia wazaz, walezi na mamlaka za juu.

Kuna shule hapa jirani yangu ambapo ilibidi nifanye mchakato wa kumuondoa maeneo hayo kutokana na kuharibika kimaadili.

Inaitwa Shule ya Sekondari Kibaoni, kuna Mwalimu mmoja wa kiume anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kibaya zaidi amekuwa akiambukiza tabia hiyo kwa Wanafunzi wake.

Anawachukua Wanafunzi wa kiume anaenda nao nyumbani kwake ili wakamridhishe mahitaji yake ya kimwili.

Tabia hiyo ilianza kama siri na sasa inajulikana hadi ngazi ya uongozi wa shule na hadi Halmashauri, sasa imeanza kuhamia kwa Wanafunzi pia ambao ni kama wananogewa na ushenzi huo.

Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.

Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).

Wizara ya Elimu, iingilie na kufuatilia kinachoendelea, Watoto wetu wanaharibiwa huku Ifakara.

Kukaa kimya kwa kuwa tu ni Shule ya Serikali kunamaanisha tunakubali kizazi kizidi kuharibika kwa kuwa uchunguzi wangu umebaini hata Wasichana nao wameanza kufanyiana michezo michafu.
 
Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.

Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).
For transparency reasons ungemtaja ili kukata mzizi wa fitina
 
Pande hizo sijui yameingia mapepo gani,,,maana hizo tabia zinasambaa kwa kasi hadi kwenye vijiji vya hio wilaya na wanaoharibika zaidi ni vijana wadogo, ukisikia sehemu wanapiga visingeli usiku pande za huko jua kuna ushetani unaendelea
 
Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupitia JF ili ujumbe uwafikie wahusika kuanzia wazaz, walezi na mamlaka za juu.

Kuna shule hapa jirani yangu ambapo ilibidi nifanye mchakato wa kumuondoa maeneo hayo kutokana na kuharibika kimaadili.

Inaitwa Shule ya Sekondari Kibaoni, kuna Mwalimu mmoja wa kiume anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kibaya zaidi amekuwa akiambukiza tabia hiyo kwa Wanafunzi wake.

Anawachukua Wanafunzi wa kiume anaenda nao nyumbani kwake ili wakamridhishe mahitaji yake ya kimwili.

Tabia hiyo ilianza kama siri na sasa inajulikana hadi ngazi ya uongozi wa shule na hadi Halmashauri, sasa imeanza kuhamia kwa Wanafunzi pia ambao ni kama wananogewa na ushenzi huo.

Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.

Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).

Wizara ya Elimu, iingilie na kufuatilia kinachoendelea, Watoto wetu wanaharibiwa huku Ifakara.

Kukaa kimya kwa kuwa tu ni Shule ya Serikali kunamaanisha tunakubali kizazi kizidi kuharibika kwa kuwa uchunguzi wangu umebaini hata Wasichana nao wameanza kufanyiana michezo michafu.
Nenda karipoti Kwa mkuu wa wilaya, wizara Iko mbali
 
Pande hizo sijui yameingia mapepo gani,,,maana hizo tabia zinasambaa kwa kasi hadi kwenye vijiji vya hio wilaya na wanaoharibika zaidi ni vijana wadogo, ukisikia sehemu wanapiga visingeli usiku pande za huko jua kuna ushetani unaendelea
Ni hatari sana kwa afya ya akili,miii na imani za watoto hao.Magonjwa hatari ya zinaa yamepata upenyo.
 
Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupitia JF ili ujumbe uwafikie wahusika kuanzia wazaz, walezi na mamlaka za juu.

Kuna shule hapa jirani yangu ambapo ilibidi nifanye mchakato wa kumuondoa maeneo hayo kutokana na kuharibika kimaadili.

Inaitwa Shule ya Sekondari Kibaoni, kuna Mwalimu mmoja wa kiume anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kibaya zaidi amekuwa akiambukiza tabia hiyo kwa Wanafunzi wake.

Anawachukua Wanafunzi wa kiume anaenda nao nyumbani kwake ili wakamridhishe mahitaji yake ya kimwili.

Tabia hiyo ilianza kama siri na sasa inajulikana hadi ngazi ya uongozi wa shule na hadi Halmashauri, sasa imeanza kuhamia kwa Wanafunzi pia ambao ni kama wananogewa na ushenzi huo.

Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.

Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).

Wizara ya Elimu, iingilie na kufuatilia kinachoendelea, Watoto wetu wanaharibiwa huku Ifakara.

Kukaa kimya kwa kuwa tu ni Shule ya Serikali kunamaanisha tunakubali kizazi kizidi kuharibika kwa kuwa uchunguzi wangu umebaini hata Wasichana nao wameanza kufanyiana michezo michafu.
Shida ndio hapo unamuhifadhi jina kwanini? una uhakika taja tu jina ili ujumbe ufike huko kuwa madudu yanajulikana.
 
Mleta uzi na yeye ni wale wale wanaomfichia siri. Kwa nini hujataja jina sasa,
 
Pamoja na kutumia Id fake bado umeshindwa kumtaja as if unatoa taarifa ya uongo au kuonea mtu, weka jina hapa ili jamii imfahamu anaeharibu vijana wetu
 
Umetaja shule ya sekondori, lakini sasa hujawa specific ifakara ni kubwa pengine Kuna shule Zaid ya moja yenye jina kama Hilo
Kuwa specific kabisa ni kata Gani au tarafa Gani iwe rahisi ufuatiliaji.
Ningekuwa Rais ningekuwa nimetunga Sheria Kali ya kuwadhibiti Hawa watu.
 
Unapoandika taarifa nyeti kama hizi,inabidi ujiridhishe kabisa pasi na shaka,siyo kusikia sikia habari za kuunga unga na umbea wa watoto.
Unachokiandika wewe ni uongo mtupu.Tafadhali kanisha andiko lako mara moja,la sivyo nitaleta hapa taarifa sahihi.Shule hiyo kwa takribani miaka mitano iliyopita hakuna mwalimu kama huyo.Acha kukurupuka na kuandika vitu vya uongo.
 
Hakika wewe Ifakara unaijua huyo Zuchu yupo aisee ila nimeshtuka ulivyosema kuna nyumba yao special wanatumia kupelekewa moto. Kuna kitu/mtu namuhisi.
😂😂😂 Nani jomba? Kuna mwamba moja ana duka la vifaa vya umeme mitaa ya kampala pub naskia nae ni punga sema ana macho ya kuita nyege balaa akikuangalia🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom